Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Jinsi nyani gabu alivyobadilika itikadi,,sijajua hasa nini kilimpata hutu mnyantunzu....
 
Inawezekana kipindi hicho kilikuwa kinamvutia hicho chama na sasa anakiona kimepoteza direction kuanzia wapenzi wa chama mpaka viongozi wake ndio maana kawaama
No man,the change was so sudden..it is like an imposter is using his account nowdays,
 
Tangu lini chadema inajiongoza kwa sheria na katiba?
 
Ni wapi uliwahi kuniona mimi nikijinasibu kuwa ni “msomi mzuri sana”?

Nionyeshe, tafadhali.

Ukishindwa kunionyesha, utakuwa ni mzushi tu.

Haya nionyeshe...
 
...hamna mtu yuko na intorerance of thought kama jiwe....wewe mkabila wa huko kwa jiwe hili unalijua lakini uko blind...kwa kuwa mmeshikwa pabaya...you are so desperate...hamkutegemea anayofanya lissu ..poleni ...
Lisu amefanya yapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…