Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
technically kamanda mbona umekasirika?Pumbavu kweli chadema wasiposhinda wewe unapata faida gani mbeba box
Wewe ulitaka awe na itikadi ipi ya chama?Jinsi nyani gabu alivyobadilika itikadi,,sijajua hasa nini kilimpata hutu mnyantunzu....
Kwani kubeba mabox si kazi?Utabeba mabox huko mpaka makalio yachubuke.
Alikuwa mpinzani mwenzetu mzuri sana,,Wewe ulitaka awe na itikadi ipi ya chama?
Nyani Ngabu usishangae Sana hizo ndio akili halisi za wanachama wa Chadema badala ya kujibu hoja wanaleta viojaAndika na wewe hicho Kiingereza kama unaweza.
Inawezekana kipindi hicho kilikuwa kinamvutia hicho chama na sasa anakiona kimepoteza direction kuanzia wapenzi wa chama mpaka viongozi wake ndio maana kawaamaAlikuwa mpinzani mwenzetu mzuri sana,,
No man,the change was so sudden..it is like an imposter is using his account nowdays,Inawezekana kipindi hicho kilikuwa kinamvutia hicho chama na sasa anakiona kimepoteza direction kuanzia wapenzi wa chama mpaka viongozi wake ndio maana kawaama
Tangu lini chadema inajiongoza kwa sheria na katiba?Unakumutwa wewe. Kama kweli unapenda nchi iongozwea kwa misingi ya katiba na sheria ungehamia CHADEMA. CCM na serikali yake wamevunja sana misingi ya katiba na sheria. Mfano mmoja mkubwa ni kutumia pesa ya uma kujenga uwanja wa ndege Chato bila ridhaa ya bunge.
Saint Anne na Hawa ndio wanapoteza Radha ya jamiiforumWengi wanaendeshwa na ushabiki wa hovyo Sana,akili wameziweka pembeni
Ni wapi uliwahi kuniona mimi nikijinasibu kuwa ni “msomi mzuri sana”?Hivi nyani ngabu ulipanga wewe kuzaliwa au ilikuwa ni bahati mbaya?
Nimewahi kukuona ukijinasibu kuwa wewe ni msomi mzuri sana, kama ni kweli hujaelimika hata chembe.
Ni vyema ujitafakari ktk maandiko yako huenda utajua yapi ya kuandika kama msomi (kama unavyojiita wewe) ili kulinda usomi wako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣BAK kama nakuona unavyofura hasira ukiona uzi Uzi huu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mrs Van kwani wewe Ni chama gani?Uhuru, haki na maendeleo ya watu.
Hicho kiingereza chenyewe unadhani wanamfikia sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyani Ngabu usishangae Sana hizo ndio akili halisi za wanachama wa Chadema badala ya kujibu hoja wanaleta vioja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anatamani apasuke kwa hasira[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Juzi kuna Uzi nilitoa hoja iliyowasifia walinimwagia likes hizo[emoji23][emoji23][emoji23]Saint Anne na Hawa ndio wanapoteza Radha ya jamiiforum
Ameona uhuni wa upinzani Ndiyo maanaAlikuwa mpinzani mwenzetu mzuri sana,,
Halafu jamaa ana maisha mazuri na amewaacha mbali watu wengi tu hapa kajamba naniKwani kubeba mabox si kazi?
Lisu amefanya yapi mkuu?...hamna mtu yuko na intorerance of thought kama jiwe....wewe mkabila wa huko kwa jiwe hili unalijua lakini uko blind...kwa kuwa mmeshikwa pabaya...you are so desperate...hamkutegemea anayofanya lissu ..poleni ...