Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sihitaji chochote toka kwa yeyote.Hahahaaaa umechelewa ndugu...ungeanza mapema ungefikiriwa
Endelea kubeba mabox Basi...au yamekua mazitoSihitaji chochote toka kwa yeyote.
Hilo kwako ni gumu kulielewa?
Kama Songea kuna minazi itashindikana vipi Iringa?Sasa chadema itashindaje kama mtu analeta picha kama hii nakusema hapo ni Iringa na Lisu kaifuta ccm Iringa leo hii?
Hivi ni sehemu gani Iringa kuna minazi?
Chadema hii ya Lisu ni aibu tupuView attachment 1568603
Endelea kunung’unika.Endelea kubeba mabox Basi...au yamekua mazito
Yaani huyu naona kaishiwa huko na nauli Hana ya kurudi...atanyooka tu....mabox yamekua mazitoUtabeba mabox huko mpaka makalio yachubuke.
Kwani niko wapi?Yaani huyu naona kaishiwa huko na nauli Hana ya kurudi...atanyooka tu....mabox yamekua mazito
Tunaomba Basi Hilo povu tukafulie nguoEndelea kunung’unika.
Duh 🤣🤣🤣🤣.We dada siku hizi unajua kurusha ngumi?
Nakumbuka ulivyo mng'ata mwajuma alipovaa chupi yako
Kama chadema ni wahuni, Ccm ni takatakaChedema ni kundi la wahuni..kamwe MUNGU hawezi kuwafikisha mbali ktk nchi hii
Watu gani kila wakiongea wanafoka tu wala hawasemi la maana,yaani kila ukiwasikilizaa unaona wazi kua wana uchu wa madaraka tu kutafuta mamlaka na pesa na si uchungu wa wananchi
Kutwa kucha hoja za mgombea wao ni kumsema Rais na kutuambia mambo ya risasi alizopigwa,hasemi atawafanyia nini wananchi..akijitahidi kuongea jambo analiongea ktk mlengo wa kiulaya,hapa ni Afrika,hapa ni Tanzania nchi yetu nzuri na hatuna haja na maisha ya watu wa ulaya
JPM na team yake watapita nina hakika tena kwa asilimia kubwa sana maana wananchi walio wengi walisha muelewa vzr na hawapo twitter wala jf ambako ndo ziko siasa za wahaini hawa.
Hamna hela ya kununulia Omo?Tunaomba Basi Hilo povu tukafulie nguo
Andika na wewe hicho Kiingereza kama unaweza.Mshika-ukuta Kwenye maisha yako ya ulaya umeishia kuandika kiingereza kibovu basi
Mpaka taya limwagike....Natamani nikutane nalo moja nilitandike ngumi ya kwenye taya 🤜🏿
Ahsante kwa mchango wako.Umeandika upumbavu mtupu