Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Chadema ni kundi la wahuni.. kamwe MUNGU hawezi kuwafikisha mbali ktk nchi hii

Watu gani kila wakiongea wanafoka tu wala hawasemi la maana,yaani kila ukiwasikilizaa unaona wazi kua wana uchu wa madaraka tu kutafuta mamlaka na pesa na si uchungu wa wananchi

Kutwa kucha hoja za mgombea wao ni kumsema Rais na kutuambia mambo ya risasi alizopigwa,hasemi atawafanyia nini wananchi..akijitahidi kuongea jambo analiongea ktk mlengo wa kiulaya,hapa ni Afrika,hapa ni Tanzania nchi yetu nzuri na hatuna haja na maisha ya watu wa ulaya

JPM na team yake watapita nina hakika tena kwa asilimia kubwa sana maana wananchi walio wengi walisha muelewa vzr na hawapo twitter wala jf ambako ndo ziko siasa za wahaini hawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sema chama tawala mnajua kuwajibu watu vizuri aiseee,,,mitusi yote wanayotukana ila mnaenda nao vizuri tu[emoji23]
 
Katika yote wanachoniudhi makamanda wenzangu ni pale unapikosoa chama, unaonekana kama kinyesi. Sasa sijui tutawezaje kuongoza serikali ikiwa tu hatutakiwi kukikosoa chama
Kama ccm walivowafukuza akina membe kwa sababu walionyesha nia ya kugombea urais, malizeni ya chumbani kwenu ndio mhamie chumba cha jirani
 
Katika yote wanachoniudhi makamanda wenzangu ni pale unapikosoa chama, unaonekana kama kinyesi. Sasa sijui tutawezaje kuongoza serikali ikiwa tu hatutakiwi kukikosoa chama
Wengi wanaendeshwa na ushabiki wa hovyo Sana,akili wameziweka pembeni
 
Kwa mafuriko haya wanashindaje sasa CCM Oyeee
1600003631025.png
 
Naona ukabila unakutesa sana. Umeishiwa kabisa hoja sasa umeishia kutapatapa!!

Napenda kukwambia huu ndo mwisho wa huyo magufuli wako. Raisi wa Tanzania kuanzia November 2020 ni Tundu Antiphas Lissu!
Hii bangi
 
Back
Top Bottom