Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Uchaguzi 2020 Sitaki CHADEMA washinde, na hawatoshinda

Fine!

Hata kama hayupo, bado sitaki mtu yeyote anaye imply kwamba wewe ukiwa upande wake basi utapata ‘favors’ au ‘courtesies’ flani flani ambazo wengine hawana kutokana na kutokuwa upande mmoja na wewe ki itikadi na kimtazamo.

Au wewe unasemaje?

Kama serikali inaundwa na CCM wewe hupendi kuona watu wakosaji wakishughulikiwa bila kuangalia ni wa chama gani?
Ningependa kuona wakosaji wote wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali itikadi zao siasa.
Ninaona kwanini hawa '' wa Chadema'' unaosema, wamefikia hatua hiyo.

CCM na serikali yake imejenga ''bad precedent and double standards'' kiasi kwamba hakuna mwenye imani.

Mfano, ukiwa mwizi huna pesa utahukumiwa miaka, ukiwa mwizi wa pesa ndefu utahukumiwa kulipa faini!!!

Ukiwa hohehahe ukakamatwa na kucha za simba, utakula miaka. Ukiwa Mbunge na pembe za ndovu-lipa faini.

Ukienda kwa kundi kurudisha fomu za uchaguzi umevunja sheria. Mkurugenzi aliyekimbia ofisi ana udhuru!

Unapokuwa na mambo kama haya nani atakuamini hata kama unatenda kwa dhamira njema?

Kwahiyo tusiwalaumu hao vijana , tuangalie pia mistrust iliyopo katika justice system na ukweli kuwa lady hayupo
 
Ningependa kuona wakosaji wote wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali itikadi zao siasa.
Ninaona kwanini hawa '' wa Chadema'' unaosema, wamefikia hatua hiyo.

CCM na serikali yake imejenga ''bad precedent and double standards'' kiasi kwamba hakuna mwenye imani.

Mfano, ukiwa mwizi huna pesa utahukumiwa miaka, ukiwa mwizi wa pesa ndefu utahukumiwa kulipa faini!!!

Ukiwa hohehahe ukakamatwa na kucha za simba, utakula miaka. Ukiwa Mbunge na pembe za ndovu-lipa faini.

Ukienda kwa kundi kurudisha fomu za uchaguzi umevunja sheria. Mkurugenzi aliyekimbia ofisi ana udhuru!

Unapokuwa na mambo kama haya nani atakuamini hata kama unatenda kwa dhamira njema?

Kwahiyo tusiwalaumu hao vijana , tuangalie pia mistrust iliyopo katika justice system na ukweli kuwa lady hayupo
Angalau wewe umeelezea hilo jambo kwa mantiki!

Ila hawa CHADEMA waliomo sidhani kama hiyo uliyoielezea wewe ndo ‘rationale’ yao.

Wao [hawa CHADEMA waliomo humu] wanaona kuwa wewe ukiwa upande wao basi hupaswi kushughulikiwa.

Wanaopaswa kushughulikiwa ni wengine, wale wa upande mwingine.

Jambo ambalo mimi nalikataa kabisa.
 
Kama misukule wa CHADEMA waliomo humu ndo wanaakisi fikra za viongozi wao wa chama, basi mimi Ngabu nasema sitaki kabisa hao watu washike madaraka.

Kwa nini nasema hivyo?

Kwa sababu hawa misukule wa CHADEMA ni wapumbavu kabisa.

Sijawahi kuona watu walio watupu kichwani kama hawa watu.

Katika akili [kama wanazo] zao eti huwa wanashangaa kwa nini mtu ambaye labda wao wanaona ni mwanaCCM, anakamatwa, anawekwa ndani, na kufunguliwa mashitaka.

Mimi nataka utawala ambao hautokuwa unapendelea. Utawala ambao hautoangalia mwelekeo wako wa kichama.

Kama chama tawala ni CCM basi ningependa kuona hata wanachama wa CCM wavunjao sheria, wakishughulikiwa.

Hizi habari za wana CHADEMA kusema kuwa ‘unaona sasa, wakimalizana na sie, watahamia na kwenu’ ni za kijinga na kipumbavu kabisa.

Sijui wao wangekuwa madarakani wasingewashughulikia wenzao kama hao wenzao wangevunja sheria?

Hawa CHADEMA ni wapuuzi kabisa. Ni wa kupuuzwa.

Lady Justice is supposed to be blind. She should apply justice without fear or favor.

All you CHADEMA fanboys and girls can go pound sand.
Sasa hapa unapinga au unalalamika?
 
''Mkinichaguliwa Wabunge wa Upinzani hamtapa maendeleo''. ''Ninyi ....mlifanya makosa ya kumchagua....Mpinzani ndiyo maana hampati maendeleo''
''Nikuteue nikupe gari halafu umtangaze mpinzani kashinda''
Lady Justice hayupo Tz, na kama atarudi ni baada ya miaka 5.
Pathetic.
 

Attachments

  • 2506942_VID-20200828-WA0015.mp4
    2.9 MB
Kama misukule wa CHADEMA waliomo humu ndo wanaakisi fikra za viongozi wao wa chama, basi mimi Ngabu nasema sitaki kabisa hao watu washike madaraka.

Kwa nini nasema hivyo?

Kwa sababu hawa misukule wa CHADEMA ni wapumbavu kabisa.

Sijawahi kuona watu walio watupu kichwani kama hawa watu.

Katika akili [kama wanazo] zao eti huwa wanashangaa kwa nini mtu ambaye labda wao wanaona ni mwanaCCM, anakamatwa, anawekwa ndani, na kufunguliwa mashitaka.

Mimi nataka utawala ambao hautokuwa unapendelea. Utawala ambao hautoangalia mwelekeo wako wa kichama.

Kama chama tawala ni CCM basi ningependa kuona hata wanachama wa CCM wavunjao sheria, wakishughulikiwa.

Hizi habari za wana CHADEMA kusema kuwa ‘unaona sasa, wakimalizana na sie, watahamia na kwenu’ ni za kijinga na kipumbavu kabisa.

Sijui wao wangekuwa madarakani wasingewashughulikia wenzao kama hao wenzao wangevunja sheria?

Hawa CHADEMA ni wapuuzi kabisa. Ni wa kupuuzwa.

Lady Justice is supposed to be blind. She should apply justice without fear or favor.

All you CHADEMA fanboys and girls can go pound sand.
Chukua hili hapa

IMG-20200914-WA0040.jpg
 
Nimesoma post naona hakuna hoja ya msingi zaidi ya ushabiki wa kisiasa!
 
Nimesoma post naona hakuna hoja ya msingi zaidi ya ushabiki wa kisiasa!
Lofa ni yule asiye na Sera ila kudhihaki viongozi na baadaye kujenga vioja kwa kudandia Sera zisizo za chama chake pasipo kuelewa na jinsi gani zimeibuliwa na zitatekelezwa
 
Hivi nyani ngabu ulipanga wewe kuzaliwa au ilikuwa ni bahati mbaya?
Nimewahi kukuona ukijinasibu kuwa wewe ni msomi mzuri sana, kama ni kweli hujaelimika hata chembe.
Ni vyema ujitafakari ktk maandiko yako huenda utajua yapi ya kuandika kama msomi (kama unavyojiita wewe) ili kulinda usomi wako.
 
Makamanda wengi wako intolerant kuhusu diversity of thought...
...hamna mtu yuko na intorerance of thought kama jiwe....wewe mkabila wa huko kwa jiwe hili unalijua lakini uko blind...kwa kuwa mmeshikwa pabaya...you are so desperate...hamkutegemea anayofanya lissu ..poleni ...
 
Back
Top Bottom