RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,218
Vijana wa sasa hivi wanaangamia kwa msongo wa mawazo mkuu. Bila shaka atakuwa na msongo wa mwazo. A reasonable man hawezi tumia lugha chafu kiasi hicho.Anavuka mipaka. but still endelea kuwa mpole Mkuu...