Sitaki kuandika sana lakini ninyi wadau mtasema

Sitaki kuandika sana lakini ninyi wadau mtasema

Ujira kwa watoto ni kosa kisheria, nadhani ingekuwa bora kama ungemripoti huyo Jangiri.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mtoto ukimpa sh.7000 anaweza kufanya karibuni kitu chochote.( Najua kwa sababu nimewahi kuwapa hela watoto)
Wewe unalalamika nini?
Unataka "kuwaokoa"watoto wasipate sh. 7000?
With friends like these who needs enemies?
Nimeuliza umri huo ni sahihi kufanya majukumu hayo kama wafanyakazi wa kulipwa?
 
Ujira kwa watoto ni kosa kisheria, nadhani ingekuwa bora kama ungemripoti huyo Jangiri.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Huwa hamtumii akili zebu vizur, mnataka kulinganisha maisha ya watoto wa nchi za ulaya na hawa watoto wa uswahilini walio telekezwa kwa Bibi ambaye hata kuona tu ni shida na hawana hata uhakika wa mlo wa siku , sasa mtoto huyo tena miaka 12+ akipata kazi ya malipo akale na Bibi yake kuna tatizo gani ? Kwa mtazamo wangu siioni tatizo as long as wamelipwa bila dhuluma.
 
Huwa hamtumii akili zebu vizur, mnataka kulinganisha maisha ya watoto wa nchi za ulaya na hawa watoto wa uswahilini walio telekezwa kwa Bibi ambaye hata kuona tu ni shida na hawana hata uhakika wa mlo wa siku , sasa mtoto huyo tena miaka 12+ akipata kazi ya malipo akale na Bibi yake kuna tatizo gani ? Kwa mtazamo wangu siioni tatizo as long as wamelipwa bila dhuluma.
Sheria za kazi zinakataza ajira kwa watoto no matter the circumstances. Ingekua ni kazi ya kawaida tungeweza sema ni sawa kwa sababu wapo kwenye stadi za maisha hivyo hawaathiriwi na lolote. Lakini ukiingiza malipo inamaana ni mkataba ivyo utamlazimisha afanye kazi pengine hata kuzidi uwezo wake ivyo inakua ni shuruba na sio kazi tena.
 
Sheria za kazi zinakataza ajira kwa watoto no matter the circumstances. Ingekua ni kazi ya kawaida tungeweza sema ni sawa kwa sababu wapo kwenye stadi za maisha hivyo hawaathiriwi na lolote. Lakini ukiingiza malipo inamaana ni mkataba ivyo utamlazimisha afanye kazi pengine hata kuzidi uwezo wake ivyo inakua ni shuruba na sio kazi tena.
Tokeni zenu huko Acheni kujifanya hamjui maisha halisi ya watanzania na waafrica kwa ujumla huko vijijini ,sheria zingekuwa Mali basi zingekuwa zinawalisha bure wasio jiweza ili wasifanye kazi utotoni

Yaan mtoto Hana uhakika wa Kula kapata kazi apate chakula mnakuja na kujifanya eti sheria sheria! wakati mkiwakuta njian wanaomba mnawapita kama hamuwaoni, acheni upuuzi huo. Acheni watoto wasio jiweza wapambane kutafuta rizki ili waishi msilete ujuaji wenu hapa wakati hamuwapelekei hata kikombe cha chai huko makwao
 
Acheni kujifanya hamjui maisha halisi ya watanzania na waafrica kwa ujumla huko vijijini ,sheria zingekuwa Mali basi zingekuwa zinawalisha bure wasio jiweza ili wasifanye kazi utotoni

Yaan mtoto Hana uhakika wa Kula kapata kazi apate chakula mnakuja na kujifanya eti sheria sheria! wakati mkiwakuta njian wanaomba mnawapita kama hamuwaoni, acheni upuuzi huo. Acheni watoto wasio jiweza wapambane kutafuta rizki ili waishi msilete ujuaji wenu hapa wakati hamuwapelekei hata kikombe cha chai huko makwao
Wewe utakua na matatizo ya akili. Mimi nimetoa ufafanuzi wa sheria ya kazi kwa watoto. Mimi sio mmiliki wa sheria na ni mtu wa kawaida choka mbaya. Mbona kunishambulia ivyo?

Anyways inaonekana una uchungu nao sana, wewe mpaka sasa umesaidia wangapi au umefanya nini kuwasaidia?
 
Wewe utakua na matatizo ya akili. Mimi nimetoa ufafanuzi wa sheria ya kazi kwa watoto. Mimi sio mmiliki wa sheria na ni mtu wa kawaida choka mbaya. Mbona kunishambulia ivyo?

Anyways inaonekana una uchungu nao sana, wewe mpaka sasa umesaidia wangapi au umefanya nini kuwasaidia?
Sio uchungu anakuambia ukweli, kuna watoto katika umri huo wametelekezwa, hawana mtu wa kuwaangalia, hawajui kesho yao. Hawajui wanavaa nin wala wanakula nin unataka wafanyeje?? We unadhan kuna mzazi anayekubali mtoto wake atumikishwe? Ukiona wanafanya hizo kazi means hawana matunzo wanajitunza wenyewe.

Jaribu kuongea na hao watoto ujue kwanin wanafanya hivyo, ndo utaelewa. Sheria ni maandishi tu, kt real life kuna mambo yake huko.
 
Sio uchungu anakuambia ukweli, kuna watoto katika umri huo wametelekezwa, hawana mtu wa kuwaangalia, hawajui kesho yao. Hawajui wanavaa nin wala wanakula nin unataka wafanyeje?? We unadhan kuna mzazi anayekubali mtoto wake atumikishwe? Ukiona wanafanya hizo kazi means hawana matunzo wanajitunza wenyewe.

Jaribu kuongea na hao watoto ujue kwanin wanafanya hivyo, ndo utaelewa. Sheria ni maandishi tu, kt real life kuna mambo yake huko.
Hili swala watu mmechukulia very personal na wakati mimi nimezungumza sheria. Haimaanishi mimi sijui mimi nimesema nini sheria inasema. Sasa mnavyonijia juu utafikiri mimi ndio mshika msumeno.
 
Mleta uzi kabla ya kuandika jikumbushe kwanza maisha ya mtanzania halisi. Tukiwa shule ya sekondari kuna wenzetu walikuwa wanabaki likizo shuleni na kupiga kazi ili walipiwe ada na shule. Zile kazi walizokuwa wanapiga haina tofauti na kwenda shamba siku nzima. Marafiki zangu wengi tu ambao sasa hivi wengi wana mafanikio ilikuwa nyakati za likizo wanapiga vibarua mwanzo mwisho ili kupata ada na matumizi shuleni. Binafsi likizo zote za A - level nilizitumia kupiga vibarua za saidia fundi. Hizo sheria haziwezi kutumika kama zilivyo.
 
Back
Top Bottom