Sitaki kumkwaza mwanamke wa JamiiForums

hivyo ulivyoandika ni makwazo kwao....!!!
 
Mada ambazo zinasema tusipewe hela.......kuna vivulana kila siku vinakuja kulialia hapa eti Oooh.....nimepigwa mzinga......mara oooh.....nimeletewa invoice......wanazuia hata wanaume wanaokojoa mbali kuzungumza na sisi babes.........
hahahahahahahaha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 




wema ni kioo cha nani hahaha mm wangu ni shishi bebe
 

Attachments

  • IMG-20150622-WA0009.jpg
    22.1 KB · Views: 21
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…