Sitaki kumkwaza mwanamke wa JamiiForums

Sitaki kumkwaza mwanamke wa JamiiForums

Mada ambazo zinasema tusipewe hela.......kuna vivulana kila siku vinakuja kulialia hapa eti Oooh.....nimepigwa mzinga......mara oooh.....nimeletewa invoice......wanazuia hata wanaume wanaokojoa mbali kuzungumza na sisi babes.........
hahahahahahahaha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
1. Usiwaulize kwann wanapenda kuomba hela.

2. Ukitongoza ukigundua mko 10 mpe zawadi ya hela maana anajua kutafta

3. Kila siku tongoza wa5 pm watakuona we kidume

4. Usimpinge #Lara 1 mpe ushirikiano mada zote

5. Ukiona mada inamuhusu Wema Sepetu changia +ve maana ni kioo chao. Ukioppose mi simo




wema ni kioo cha nani hahaha mm wangu ni shishi bebe
 

Attachments

  • IMG-20150622-WA0009.jpg
    IMG-20150622-WA0009.jpg
    22.1 KB · Views: 21
Back
Top Bottom