Sitaki kupata watoto

Sitaki kupata watoto

Mimi naona watoto ndo wananipa raha sijui issue ya dhuluma inaingiaje....
Ni kweli watoto wanahitaji pesa nyingi kuwatunza lakini hiyo sio sababu ya kupata depression
 
Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues.

I will live my life, enjoy my money, kuwa na familia ni shida tupu, ukijichoka tafuta familia ni hayo tu.
Huna Nguvu ww
 
Vipi Baba yako na Mama yako wangekuwa wanafikiria unachowaza leo hii? Au ndio tukuite a "wasted sperm"?.
Kwani aliomba azaliwe? Wazazi wake wamenufaika na nn kwa kuzaliwa kwake? Huyu jamaa ana hoja, asikilizwe.
 
Nakubaliana na wewe [emoji28][emoji28] hakuna kulipa ada ya shule au sio
sema haya maamuzi inabidi uyafanye ukiwa na miaka 30+ kwasababu huo ndo umri wa kuoa/kuolewa kwahiyo utakua umeamua kwa dhati kabisa na unajua majuto yake....
 
Kwani ww ni mtoto wa nguruwe ama?, na ww wazazi wako wanajivunia kuwa na ww?.
Mental depression yakuandama ww siyo bure...
 
fd1.jpg
 
Ni raha sana kuona unamuhudumia mtu mwingine na anaridhika na kufurahi, wengine tumekuwa na watoto hata kabla ya kuwa na watoto.

Ni sawa kuamua kutokuwa na mtoto, ila jiandae kiakili kuwa kuna siku nothing will make sense, sio pesa, sio mapenzi, sio chochote zaidi ya binadamu tena uliowatengeneza mwenyewe.
 
Mpaka kunguru anatamani kuwa na watoto na huwahangaikia pindi akiwapata.
So far kunguru kakuzidi akili
Dunia ina watu billion nane na umasikini ,unyonyaji na matatizo yanaongezeka kila kukicha kwa ujinga wa watu wachache kuzaa kama panya ,mbazalisha group kubwa la watumwa wakuwatumikia mabwanyenye 1% ambao ndio wanaongoza dunia ya sasa kiuchumi na kiuongozi .

Si kila mtu lazima azae , you can simply adopt one , kuna mabilioni ya watoto yatima , who care for them ? ,selfishness Tu , Kila mtu anawaza kuspread sperms zake bila kufikiri logically .
You are just a cog in a wheel , kunufaisha mabwanyenye wanaotawala dunia hii .
Unakuta jitu linazaa watoto halina means za kuhakikisha wanaishi maisha bora ,huu ni upunguani .

Binadamu tumeambiwa utashi ,too had kwamba wengi hatuutumii huo utashi wa kiakili , kufanya mambo kama hayawani .
Kuna mtu anaandika anasema hata kunguru wanazaaa , wtf ! ,Hiyo ni logic ya kulegitimize kuzaa ? ,Yaani benchmark yako kiutashi kama binadamu iwe kujifananisha na kunguru ?

Mtu anaandika eti mara Bible mara quran imesema hivi ,Wtf ! ,Unajua ni nani alileta hivyo vitabu na ili kumfaidisha nani ?
Common sense is no longer common amongst people .
 
Mojawapo ya pressing issue inayosumbua dunia sasa hivi karibia kila nchi ni poverty na income inequality au economic injustice ambapo watu wanakuwa brainwashed kwamba uchumi wa dunia na nchi unakuwa yet idadi ya masikini waliotopea na unyonyaji unaongezeka wakati huo huo 1% ya popolation ya dunia ambao ndio hao matajiri na familia zao wanaongezeka kiutajiri na kuhodhi utajiri na nyenzo kwa kasi kubwa zaidi kuliko wakati wowote ule katika historia ya ulimwengu , inasemekana kasi hii ni kubwa kuliko ya enzi za ujima ,ukabaila ,ukoloni nk , concentration of unprecedented wealth and power in hands of the few whole majority struggles in darkness of pocerty ,miseries and hopelessness na tatizo kubwa ni hilo overpopulation , watu wanazaa bila kuwa na means za kuensure better survival na future ya hao wanaowazaaa , huo ni uhayawani .

Semeni hata vitabu kidogo
Hiki kitabu kinaitwa " population bomb",Someni nondo humo ,mtoe tongotongo kwenye vichwa hivyo , dunia tunayoishi sasa si ile ya miaka ya nyuma mambo yamebadilika ,so watu mbadilishe hata mentality zenu ,acheni kufanya vitu kwa kukalili
 
World's one percent enjoys extravagant wealth ,power and priveledges more than the way the bottom a half of the world's population does .

Someni kitabu hicho kinaitwa "Population bomb "
 

Attachments

Back
Top Bottom