Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
Hapana. Sinufaiki na utawala huu zaidi ya kuwa na nafasi ya kufanya biashara zangu bila vita na machafuko. Silaha za jadi za nn kwenye kura sasa? Kukishatokea machafuko tutafanyaje kazi sasa?Ni vyema kama ni kushiriki kupiga kura watu wahimizwe kwenda na silaha za jadi. Ila kwenda kupiga kura kama wanaenda kwenye nyumba za ibada ni utani. Uchaguzi wa safari hii kama wapinzani wamekubali kushiriki chini ya tume hii, wajiandae kwa machafuko zaidi kuliko kinyume chake.
Awe dictator huko ccm au la hilo ni swala la ccm. Huku nje raia hawaoni huo udictator, raia mwenye duka mbagala udictator wa mwenyemiti wa ccm unamuhusu nn? Kuhimiza watu waende kupiga kura na silaha za jadi ni ubinafsi wa hali ya juu kwa raia wasiojali udictator unaoimbwa. Wapo raia wanataka uhuru wa biashara na kufanya kazi, machafuko si rafiki kwa biashara.Kondoo? Au kondoo ni watu kama wewe ambao kazi yenu ni kupinga tu hata jambo ambalo mnanufaika nalo. Wanachama wa Ccm wameona kazi aliyoifanya ndio maana wamempa kura kwa 100%. Subiri JNHPP ikamilike ule matunda ya Ccm.
Duh poleni aisee,huyu Mzee ilitakiwa asiachwe kuwa na mamlaka makubwa hivi mwanzoni kabisa wakati wa utawala wake. Nahisi hata kinana aliachia uongozi wa chama baada ya kushindana nae na kuona anaenda kujimilikisha chama.3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
Mimi naona mnastahili kuburuzwa, acha awaburure mpaka akili iwakae sawa, kama chama ni chenu na katiba inaeleza wazi (kwa mujibu wa bashiru) kwamba palitakiwa kuwa wagombea watatu ili wapigiwe kura, ilikuwaje mkakubali katiba ikiukwe, anachukua fomu mtu mmoja halafu wakati wa kupiga kura anasimama hapo anawaangalia, nyie kwanini msimtoe awaachie chama ?, Demokrasia ni msamiati mgumu sana kwa sisi waafrika.
Demokrasia bila miongozo ni vurugu. Kwa maono yangu demokrasia ilikuwepo na watu tuliiona kwa maono yetu. Bila kufanya vile mkutano ungetumia siku 20Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Pole kama ndio umegundua Juzi baada ya kuanza Mkutano Dodoma.Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Litakuwa ni kosa kubwa kuua upinzani uliojengwa kwa jasho. Ccm hakutakuwa salama upinzani ukifaNa ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.
Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Mkuu kuondoka ktk chama awamu hii Kuna kaugumu. Si unaona walio ondoka wanarudi? Jaribu kufunua chini ya kapeti kujua kwann wanarudiKwa nini bado uko kwenye chama?
Haiwezekani, mifumo yote ya kutubana imewekwa kwenye laini.Poleni sana,vipi hamuwezi kupindua meza?
Nalog off
Inasikitisha na kuumiza.Magufuli ni symptom tu ya uozo tunaolea wa kukubali kuwa na Rais mwenye absolute powers. Akina BWM na JK nao wamelea mfumo huo kwa jeuri na kiburi ingawa, Leo hii, nao wameishia kuhukumiwa na kudharauliwa kwa kuharibu nchi kiasi cha mrithi wao kudai eti anahangaika “kuinyoosha na kurudisha heshima iliyopotea” huku akifanya vituko vya kila aina vingine vikiwa aibu tupu!
Hii ndiyo ajabu. Yaani mapandikizi ndiyo yanapewa airtime na siyo wenye chama. Hakika inaumiza.Mkutano Mkuu “mapandikizi” yanapata muda
Anajiona yeye tu ndani na nje ya chama kuwa ndiye mjuaji. Hii hatari sana. Mm kanikera hatari.Mzee kwani anaona hakuna mtanzania mwingine anaeweza fanya kama yeye.
Nihame niende wapi wakati huko upinzani ndiko mbinyo na vilio vilikoanzia? Yaani niondoke kwenye majivu nikimbilie kwenye moto? Hivi unadhani akina Kinana, Nape na Makambas wanaomba radhi hivi hivi tu. Au kina Sumaye na Lowasa wanarudi ccm kwa kupenda? Kuna makubwa yaliwapata.Hama chama unaleta utopolo wako humu ndani tukusaidie nini...