mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli atakudharau.Siwezi kumuuliza mwanangu swali la kipuuzi kama hilo maana atanidharau.
Tuwe wakweli jaman 2020 upinzani ni nani wa kupambana na Magufuli?kwa mikakati ipi na kwa sera zipi muhimu wapinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani tu
Niko ukumbini ndiyo tunatoka sasa
Katiba kaka. Kama anateua wakuu wa vyombo hivyo vya dola na vya maamuzi, unategemea nini kama si kusifu na kuabudu ?!. Na hii nguvu anaipata through katiba hii ya Msekwa (1977).Udiktena hauletwi na raisi bali unaletwa na vyombo vya dola bila vyombo vya dola hakuna dikteta maaana hata akisema fanyeni hivi vyombo vya dola mahakama na bunge vikikataaa huwez endelea kuwa raisi ivo udikteta huletwa na vyombo vyote vya ulinzi bunge na mahakama
Ndio uwezo wa CPU yake kuchakata mambo, inakuja kumpa cha kusema wakati asharopoka.Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.
Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Hiyo namba 3 ndiyoimenishangaza,waliweka mtego kutaka kujua mkoa utakao zinguaAnachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Subirini mda wake upiteAnachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Hakujawahi kutokea duniani kote watu 1822 wakawa na mawazo sawa kwa mtu fulani. Mazingira yaliwekwa kuipata hiyo asilimia. Karatasi za kura zilikuwa zinakusanywa bila kukunjwa na kila mstari ulikuwa na mkusanyaji wake. Anakagua umeandika nn kqbla ya kuichqnganya karatasi ya kura na nyingine.Chama kinajinasibu kuwa na Demokrasia kubwa Sana katika uteuzi na uendeshaji wa chama. Iweje Tena malalamiko hayo kwa Sasa, wakati mgombea wenu ameshinda kwa Asilimia 100??
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
Chama hakikuzuia mtu kuchukua fomu, mbona hukuchukua?!
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
Huu ni utamaduni , mpya , hata Makanga aliporudi CCM wakati wa Mkapa aliiachiwa, hata Lowasa aliporudi Chadema aliachiwa, inawezekana hata Membe mtamuachia kama Maalim Seif alivyoachiwa, au mbowe alivyoachiwa u sultan CHADEMA. Kila chama na utamaduni wao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
Ni utamaduni wa siku zote wa CCM , kuanzia kukaa , kupiga kuara nk acha kupotosha!
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Naomba uelewe kuwa kura za maoni siyo kigezo pekee, viko vingi kama kura za maoni, mapendekezo ya kamati ya Siasa ya wilaya, Halmashauri ya CCM Mkoa, Kamati Kuu na Mwisho Halmashauri Kuu ya Taifa itatoa uamauzi kwa kuzingatia yote zikiwemo taarifa za upekuzi. Utaratibu huu uko tangu mwalimu mpaka leo, Slaa alikatwa CCM Karatu 1995, Adamjee Kawe, Manji igamboni, hata vyama vyenu vya upinzani rekodi hizo tunazo pia usipotoshe. Huyo pia alikuwa JPM.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Hamia kwenye Demokrasia za kusubiri CCM ikate/kufukuza watu ndiyo mpate wagombea.
Yule ni mwwnyekiti wa ccm, sasa unataka aseme chadema mtashinda?Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.
Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Kuna mwingine alienda kuchukua form akanyimwa?Amechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango.
Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!