Tuliwaonya huyu ni dikteta, mkafikiri udikteta utaishia kubagua wapinzani.
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachi.
Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Yani kasema wazi yeye ni dikteta.
Kuna vikao ya kumfukuza Membe, anasema hajapeleka mjadala kwenye kikao aliogopa mjadala wa kikao, kamaliza habari mwenyewe katangaza tu. Haoni hata aibu.
Huyu dikteta ataiharibu sana hii nchi.