Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

CCM Mpya hiyoo[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
IMG-20200711-WA0009.jpg
 
Kilichobaki ni upinzani kufanya kama inajitoa kwenye uchaguzi uone CCM watakavyo pigana ngumi kugombania bafasi/ teuzi
 
Hongereni na siasa zenu sisi huku tunapanga kwenda kuishi sayari za mbali nyie mnampango wa kwenda magogoni

Wahisani
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Huo ndiyo ukweli mchungu, ambao wanaccm wote lazima muujue
 
Na wale wenzio vichwa ngumu watakiri tu, ngoja akili ziwakae sawa, bado wako usingizini.

Cc.
drone camera.
chagu wa malunde.

Anawachezesha kwata lakini wanamsifia tu, sijui wamelogwa na nani!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kumsahau bia yangu.. mgonjwa mtambuka..yehova..mama ntilie wa kawe..sumve ..jinga lao .. Rutashobya na team nzima ya b7 fc
 
Kwani CCM bado ipo? maana hata kwenye kampeni wanasema chagua -----------,CCM haitajwi kabisa.
 
Tuliwaonya huyu ni dikteta, mkafikiri udikteta utaishia kubagua wapinzani.

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachi.

Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.

Yani kasema wazi yeye ni dikteta.

Kuna vikao ya kumfukuza Membe, anasema hajapeleka mjadala kwenye kikao aliogopa mjadala wa kikao, kamaliza habari mwenyewe katangaza tu. Haoni hata aibu.

Huyu dikteta ataiharibu sana hii nchi.

Mkuu una akili sana. Siwezi Amini kama ungekuwa mwanaccm ungefanya tofauti. Kwanini wavunje utaratibu. Interest yenu hasa Ni Nini. Akili Ni pamoja kutumia mazingira yako kutatua changamoto. Kwa hali ya Sisi watz. Usanii. Maneno mengi. JPM NI THE RIGHT CANDIDATE. Labda kama nyie Ni waganda.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.

Ahhhh. Mkuu unacommitt intellektuelle suicide. Either Acha Siasa au Nenda CHADEMA kule ni Full Demokrasia.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Nyie maccm wazee wa kulishana sumu , mlimfanya nini Makamu Mwenyekiti wenu mzee Mangula ?
 
Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.

Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Si kila mtu ana akili za kuchuja mambo kabla ya kuyatoa kinywani.
 
Back
Top Bottom