Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Naliona anguko la magufuli baada ya kutoka madarakani.sijui ataiweka wap sura yake
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana wanaruka kinyama....wanajutaaaa.!

*Mwenyekiti amechaguliwa kwa 100% ya kura 1822 ya wajumbe wote wa mkutano mkuu.!

hapo inaonyesha hata na ww umempa kura ya ndio kubwa!!
 
Tuliwaonya huyu ni dikteta, mkafikiri udikteta utaishia kubagua wapinzani.

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachi.

Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.

Yani kasema wazi yeye ni dikteta.

Kuna vikao ya kumfukuza Membe, anasema hajapeleka mjadala kwenye kikao aliogopa mjadala wa kikao, kamaliza habari mwenyewe katangaza tu. Haoni hata aibu.

Huyu dikteta ataiharibu sana hii nchi.

Aharibu mara ngapi
 
Ni vyema kama ni kushiriki kupiga kura watu wahimizwe kwenda na silaha za jadi. Ila kwenda kupiga kura kama wanaenda kwenye nyumba za ibada ni utani. Uchaguzi wa safari hii kama wapinzani wamekubali kushiriki chini ya tume hii, wajiandae kwa machafuko zaidi kuliko kinyume chake.
AMANDLAH.
Hakuna kurudi nyuma hii ni nchi yetu wote. Wote tukapige kura SAFARI HII tumuone wa kutunyang'anya HAKI.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Zama zimebadilika kutoka zile za chama kushika hatamu mpaka kufikia za sasa za Mwenyekiti Taifa wa Chama Dola kushika patamu. Zama zile za vikao vya chama kuwa na sauti kubwa hata kuwa na uwezo wa kuruhusu mgongano wa mawazo ama kuwekana sawa sasa umotoweka!

Sasa kosa ama msamaha wa kosa ni hutokana na hisia za Mwenyekiti na pia inategemea ameamkaje siku hiyo. Sanamu waliyoiunda wao wenyewe imepata uhai na kugeuka jitu la kutisha na lenye kuwadhuru wao wenyewe.

Kauli ya Rais Mstaafu Mwinyi ya kutaka aongezewe japo miaka mingine mitano ni kibwagizo tu cha wimbo mrefu ambao wenye kupasa kuucheza ni makada wenyewe. Kupitia maamuzi yake CCM Zanzibar tayari wameshapata dozi yao na wajumbe wao wakitoka vichwa chini na huzuni tele. Sasa ni zamu ya kuliwa vichwa kwa wabunge mliokwisha maliza muda wenu, mjiandae kisaikolojia mpate kuwapisha wateule wenye kukubalika mbele ya macho ya Mwenyekiti.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi hinafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya ccm. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
 
Udiktena hauletwi na raisi bali unaletwa na vyombo vya dola bila vyombo vya dola hakuna dikteta maaana hata akisema fanyeni hivi vyombo vya dola mahakama na bunge vikikataaa huwez endelea kuwa raisi ivo udikteta huletwa na vyombo vyote vya ulinzi bunge na mahakama
Kwa makusudi kabisa vinafanywa visiwe na uhuru wa kuamua lolote.
 
Kiujumla vyama vya upinzani mwaka huu vina khari Mbaya sana.

Huku jpm
Huku mwinyi
Huku Samia suruhu
Huku majariwa!!!!?

Vibwagizo vya wanamziki wte!!!
Sijajua mbunge wa upinzani atakae rudi bungeni.
 
Amechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango.
Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!
It like all the party leaders around have been "castrated".
 
Back
Top Bottom