Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Tuwe wakweli jaman 2020 upinzani ni nani wa kupambana na Magufuli?kwa mikakati ipi na kwa sera zipi muhimu wapinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani tu

Huyo magufuli wako ana lipi jipya? Dola isingekuwa inawabeba mbona hata hao wapinzani wangemsimamisha Kingwendu kupambana na huyo magufuli, bado Kingwendu angemshinda! tena kwa kura nyingi tu!

Yaani mtu aliyepata 58% ya kura tena baada ya kuchakachua na kuharibu mifumo mingine ya kuhesabu hizo kura, anaweza kushinda kweli uchaguzi Huru na wa Haki!!!!
 
Katiba kaka. Kama anateua wakuu wa vyombo hivyo vya dola na vya maamuzi, unategemea nini kama si kusifu na kuabudu ?!. Na hii nguvu anaipata through katiba hii ya Msekwa (1977).
 
Ndio uwezo wa CPU yake kuchakata mambo, inakuja kumpa cha kusema wakati asharopoka.
 
Natabiri watakaosimamia uchaguzi kuuliwa hasa pale watakapo tangaza matokeo kwa amri ya jiwe na sio kwa idadi ya kura
 
Hiyo namba 3 ndiyoimenishangaza,waliweka mtego kutaka kujua mkoa utakao zingua
 
Hutaki mara ngapi? kama umepiga kura ya ndio bila kuridhia basi ndio unafiki huo.
 
Hutaki mara ngapi? kama umepiga kura ya ndio bila kuridhia basi ndio unafiki huo.
 
Subirini mda wake upite
 
Chama kinajinasibu kuwa na Demokrasia kubwa Sana katika uteuzi na uendeshaji wa chama. Iweje Tena malalamiko hayo kwa Sasa, wakati mgombea wenu ameshinda kwa Asilimia 100??
Hakujawahi kutokea duniani kote watu 1822 wakawa na mawazo sawa kwa mtu fulani. Mazingira yaliwekwa kuipata hiyo asilimia. Karatasi za kura zilikuwa zinakusanywa bila kukunjwa na kila mstari ulikuwa na mkusanyaji wake. Anakagua umeandika nn kqbla ya kuichqnganya karatasi ya kura na nyingine.
 
 
Yule ni mwwnyekiti wa ccm, sasa unataka aseme chadema mtashinda?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…