Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

CCM siku hizi hakuna mjadala ahaaaaaa kuanzia Kamati kuuu ; NEC hadi mkutano mkuuu

Mwenyekiti anachofanya ni “kuuliza”

Wajumbe mnasemajeeeeeeee?

Wajumbe;- sawaaaaaaa

Mwenyekiti ;-haya imepita

Mwenyekiti:- hapa Nina hoja yangu haukupita Kamati kuu

Mnasemajeeee

Wajumbe :- ndioooooooo


Kwenye ccm walizoea mijadala mizito kwenye ngazi ya Kamati kuuu mizito Sana na hizo ndiooooo zilikua mkutano mkuuu Lakini nako mwenyekiti alitoa nafasi ya mijadala miwili mitatu

Lakini leo tunaona ccm ambayo hadi NEC hawapewi nafasi ya kujadilii hoja na hata wanaojaribu kuleta hoja fikirishi kama yule wa Songwe wanazimwa juu kwa juuu na pengine wakitoka hapo watashughulikiwa .....


Mkutano Mkuu “mapandikizi” yanapata muda wa kuongea Lakini sio mijadala

Alafu wanafurahia kumaliza mkutano wa siku mbili kwa masaaa Matatu tu; that’s a joke
Huu ni uburuzaji

Mikutano ya cc ; Nec na Congress ilikua hadi inakesha sio kuwa walikua wajinga bali ililenga kutoa nafasi ya kutosha ya mijadala toka kwa Wajumbe Lakini leo Wajumbe wanaenda kusema ndioooo tu

Pengine mwenyekiti wa Sasa sio mtu wa kuvumilia mijadala mizito hawezi !!!!
Hiki chama kinaongozwa na meko hakuna anaefungua domo wote ni ndioo,angalia uso zao hazina nuru kabisa
 
Kunta Kinte, a slave again, no sir
Picture blacks sayin', oh yes'a massa-Miss Elliot (Work it)

[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duh poleni aisee,huyu Mzee ilitakiwa asiachwe kuwa na mamlaka makubwa hivi mwanzoni kabisa wakati wa utawala wake. Nahisi hata kinana aliachia uongozi wa chama baada ya kushindana nae na kuona anaenda kujimilikisha chama.

Mwisho wa siku baada ya kuwaminya wapinzani sasa amewaminya ndani ya chama,hii ni tabia ya madikteta wote,hapa tushapata rais wa maisha hatuna ujanja. Mamlaka yamempa upofu Mzee kwani anaona hakuna mtanzania mwingine anaeweza fanya kama yeye.

Sifa za kinafki anazopewa,anavyo abudiwa,jinsi anaogopwa,ana tetemekewa ana amini watu wanafanya hivyo toka moyoni mwao wakati sio kweli. Anaweza kuja kufia madarakani au kupata anguko la aibu kama wakina Mugabe, Mutharika,compaore, Mubarak, bouteflica na wengineo. Tuendelee kufanya kazi tu muda ndiye mwamuzi bora.
Usipate shida ndugu anajichimbia kaburi lake mwenyewe bila kujua watu walipoweka sheria na kanuni ziongoze mambo walikuwa na akili sana hivyo basi kwa muda huu watendaji wake washamjua kwaiyo wataanza kujihami kukabiliana naye kwani hakuna mtu asiye mbinafsi humo humo wapo wenye nguvu ambao Sikh akiwauzi hawatokubali wataitaji mpinga hadharani
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.

Na bado, mtakoma!!!! Eti mmempa kura 100% kuwa mgombea pekee wa chama!!! Toba, uzwazwa huu nimeusikia kwa Sadam Hussein na sasa Dodoma!
 
Amechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango.
Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!
Nani alitaka kuchukua form akazuiwa?
 
Amechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango.
Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!
[emoji22]
 
kila zama na shetani wake na mambo yake! katika vita ya kiuchumi aliyojitwisha Mkulu kama ni kweli ni dhamira yake toka moyoni ni lazima iendane na udikteta katika nchi maskini ambako kila mtu anawaza kuiba na tumbo lake tu, ni vita ngumu yenye asilimia nyingi za kushindwa! ili kushinda ni lazima atumie mabavu kupata wasaidizi wote wa chama na serikali wanaomuunga mkono kwa hiari na kwa lazima, hivyo ni lazima demokrasia iende likizo kwa muda na safu nzima aipange Mh Rais Magufuli yeye mwenyewe.

Kwa maoni yangu Magufuli yuko sahihi kuwaburuza atakavyo wanachama na wasaidizi wake bila kufanya hivyo atafeli kutokana na mfumo wa kielimu, wa kisiasa na kijamii wa nchi hii!

Magufuli akimaliza muda wake na kukamilisha miradi yake haya sisiem irudi kwenye siasa zake na demokrasia. Nyerere aliweka huruma na demokrasia akavuna mabua kwa kutengeneza mafisadi katika kila ofisi ya umma!!
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Chama siyo chenu tena ni NGO ya Mwenyekiti
 
Jengeni umoja na tafuteni mbinu za kushinda uchaguzi, haya makosa madogo madogo mnatafutiza kwa tochi yanawapotezea muda.

CCM haiwezi kung'olewa kwa malalamiko ya kitoto namna hii.
 
Kachero mbobezi kamarada Bernad Kamilius Membe. Unabisha?
Huyo sio mwanachama atawezaje kuchukua form CCM. Alikiuka maadili wakamtimua..
Ila Membe hana mvuto wa kisiasa jamani mnalazimisha tu. Haya msimamisheni huko ACT achukue nchi kweupe.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Mkuu, siyo CCM peke yake ......... Bali ni nchi nzima tunapelekeshwa.
 
Awe dictator huko ccm au la hilo ni swala la ccm. Huku nje raia hawaoni huo udictator, raia mwenye duka mbagala udictator wa mwenyemiti wa ccm unamuhusu nn? Kuhimiza watu waende kupiga kura na silaha za jadi ni ubinafsi wa hali ya juu kwa raia wasiojali udictator unaoimbwa. Wapo raia wanataka uhuru wa biashara na kufanya kazi, machafuko si rafiki kwa biashara.
Ccm ndio wanaolazimisha watu wafikie hatua hii, inabidi kwenda na silaha za jadi ili kila mtu ajilinde na tuheshimiane.
 
Ccm ndio wanaolazimisha watu wafikie hatua hii, inabidi kwenda na silaha za jadi ili kila mtu ajilinde na tuheshimiane.
Trust me machafuko si jambo unalolitaka kama una watoto wanaoenda shule na una biashara inayohitaji utulivu wa jamii. Kumbuka siasa ni biashara za watu wengine, ss kuharibiana biashara sababu biashara ya siasa imekaa pabaya si sawa. Hii nchi hata uhuru watu hawakumwaga damu.
 
Safari hii ni mwendo wa kuletewa wagombea kazi ya wanaccm ni kuchagua uwe unataka utamchagua umtaki utamchagua.
Yaani unaweka tick kwa mgombea Lijualikali huku machozi yanakutoka, hukumtaka lakini umelazimishwa, hakuna jinsi, mliyataka wenyewe.
 
Back
Top Bottom