Sitaki tena kupaa angani

Ngoja nione vile itakuwa hasa kama kutakuwa na jipya

Jipya lipo, wewe unaemtetea muongo huyo na unaejifunza kwake uongo, mjibie na hili:

By FaizaFoxy

Wacha uongo na porojo, kasome tena, labda hujanisoma vizuri, nimekukosoa pia kuhusu Fort Hills na kuhusu Saskatchewan, zote hizo ni "ukachanganya"? unataka kutuaminisha Ontario ni "typing error" ya Ottawa?? wapi na wapi?

Bado unaendeleza uongo! unasikitisha sana, Canada ina (Provinces) majimbo 10 (Kumi) na si matatu kama utakavyo wewe. Ontario ni jimbo la pili kwa ukubwa na ni lenye wakazi wengi zaidi katika Canada (most populous province).

Nnakushangaa sana unaposema "Kama siku hizi Ontario nalo ni jimbo hilo mi sijui naelezea mambo ya miaka ya '90.". Khaa, Ontario ni kati ya majimbo mawili ya kwanza Canada kuanzia mwaka 1841 zilipoungana Canada Magharibi (Ontario) na Canada Mashariki (Quebec). Sasa uwepo Canada 1990 usijuwe kama Ontario ni jimbo? hivi uongo huwa unawasaidia nini?

Hilo la Fort Hill ndiyo hunambii kitu nenda kafanye tena home work yako. Huko nnapajuwa zaidi ya nnavyoijuwa Tanzania. Kumbuka hilo.

Sasa nnamwaga mboga, ugali na nnapindua masufuria yote. Nnaumaliza huu ubishi na uongo wako na wa huyo mwanafunzi wako ajiitae Mshana Jr. akujuwe kuwa mwalimu wake u muongo na wote humu JF wakujuwe kuwa wewe ni muongo tena wa kutupwa jalalani, tena unafaa upigwe ban kwa uongo kama huu, wa kuidanganya jamii nzima ili iwe fundisho kwa wengine kama wewe:

Uongo mkubwa zaidi wa yote ni huo wa Hudson University. Hakuna kitu kama hicho Canada.

Hiyo Hudson University iko wapi Canada au kwengine kokote? unatazama vipindi vya TV na Cinema za Kimerekani unaona jina Hudson University ambayo ni University ya kwenye kuigiza na si ya kweli unakuja kutudanganya hapa?

Hivi huwa mnafikiri wote ni misukule humu ndani ya JF.

Wacha Uongo.

Wewe si punguani wahed, wewe ni punguani millioni.
 

Ha ha haaaa, Lol. Ati namwaga mboga, ugali na masufuria napindua.
 

Umeona eeeh, halafu TRIPLE H na Mshana Jr. wanakuja kutudangaya hapa.

Hivi wanafikiri wote ni mambumbumbu kama wao humu JF? mimi huwa nawashangaa sana!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaa, Lol. Ati namwaga mboga, ugali na masufuria napindua.

Wanaudhi kupita kiasi kwa uongo wao, nilimuonesha uongo wake huyo ajiitae TRIPLE H ili ajirekebishe hakunielewa, bado anakuja na uongo mwingine wa kijinga kutetea uongo wake wa awali na mwanafunzi wake anaejifundisha ujinga na uongo kupitia kwake, ajiitae Mshana Jr. nae anatetea uongo kwa nguvu zake zote.

Imebidi nimwage vyote na masufuria nipinduwe!

Sasa waje kuutetea tena huu uongo wao, tuwaone.

Hakuna raha kama ukweli.

Mimi huwa nawaambia hawa, sisi huenda chuo kabla ya kuanza shule, hawanielewi.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeeh, halafu TRIPLE H na Mshana Jr. wanakuja kutudangaya hapa.

Hivi wanafikiri wote ni mambumbumbu kama wao humu JF? mimi huwa nawashangaa sana!

Mada ni kuhusu kupaa takwimu zako kaa nazo SIZIHITAJI FF mbona husikii wewe! Hivi ukoje? Unashupalia kudanganywa muda wote TRUST ME YOU ARE SO MEAN!!!
 
Last edited by a moderator:
Allah Akubarik dada mwaga darsa hadi lieleweke!!
 

Kama ni uongo kwanini unashupaa na waongo!? You are nobody to me kejeli zako kwangu ni upuuzi mtupu, Kwakuwa hiyo ndio yako ya maisha Thinking that you are the best in everything is another kind of superiority complex, ugonjwa unaokutesa mno
Halafu nakukumbusha tena sijiiti Mshana Jr, hilo ndilo jina langu halisi na hata hiyo avatar ni picha yangu halisi! Usisahau hilo tena
 
Last edited by a moderator:

Dah, aibuuuuu. Kaadhirika kijana
 
Last edited by a moderator:
Mada ni kuhusu kupaa takwimu zako kaa nazo SIZIHITAJI FF mbona husikii wewe! Hivi ukoje? Unashupalia kudanganywa muda wote TRUST ME YOU ARE SO MEAN!!!

Hakuna takwimu nilizoweka, unachosoma hukielewi?

Unazidi kuniaminisha kuwa shule ulienda kusomea ujinga na uongo.
 

Wewe hata useme nini, nilishakwambia, ukiwa muongo na nikijuwa unadanganya, sikuachi. Uongo mkadanyane huko huko, si uongo wenu muwajaze jamii nzima.

Hivi uongo unawasaidia nini?
 

Nilikua nakufuatilia kwa kAribu mamy, sasa nimeelewa. Nakuunga mkono na miguu pia. NA conclusion yangu ni hii:
HAWA MAJAMAA NI WAONGO, KAMA WAMEWEZA KUDANGANYA KWA JAMBO DOGO TU LA UWEPO WA HUDSON UNIVERSITY, TUNAAMINI VIPI HAYO MENGINE WATUAMBIAYO?:what:. Probably na story yake ni ya kubuni pia.
 
Last edited by a moderator:
Allah Akubarik dada mwaga darsa hadi lieleweke!!

Harudi kujitetea uongo wake maana hata chuo alichosema kasoma, Canada hakipo.

Mwanafunzi wa TRIPLE H ajiitae Mshana Jr. bado anatapatapa akijaribu kuutetea uongo lakini hajuwi aanzie wapi kuutetea huo uongo.

Mpaka inabidi nicheke tu.
 
Last edited by a moderator:

Hata jina la Kijapani sio la kweli. Nimekaa sana Japan na najua sana mila zao.

Zim sio jina la Kijapani, kuna Yoko tu kama Yoko Ono, mke wa John Lennon. Huyo Yokho sijui katokea Mongolia labda. Na Wajapani hawana muda na mizimwi na kupaa. Wanajua kufanya kazi na kujenga nchi yao tu.

Ametuletea hadithi za vijiweni.
 
Hakuna takwimu nilizoweka, unachosoma hukielewi?

Unazidi kuniaminisha kuwa shule ulienda kusomea ujinga na uongo.

That's your perception na uwezo wako wa kufikiri unaishia hapo! Halafu sijui upstairs kwako kuna shida gani hivi MTU akikwambia hana time na wewe huelewi? Unataka mpaka upigiwe ngoma masikioni ndio uelewe?
Siwezi kuendelea kulumbana nawewe KWAHIYO POST YANGU YOYOTE KAA NAYO MBALI!!! KAMA UNA MASIKIO YA KUSIKIA SIKIA KAMA UNA AKILI YA KUELEWA ELEWA
 

Inasikitisha sana, mtu anapoteza muda wake anakuja na habari ambayo wengi sana wameuliza maswali mengi sana wakiamini ni ukweli na kuna kitu watajifunza, kumbe mtu anawadanganya mwanzo mwisho.

Laiti angesema tu hii ni ya kubuni "fiction" watu tungemuelewa, mbona hata kuna vitabu tunajuwa ni vya kubuni "fiction"na vimeandikwa kuwa hii ni fiction tunanunuwa na kujisomea. Sasa huyu sijui anapata faida gani kudanganya na tunapomuonesha kuwa anadanganya anarudi na kuutetea uongo kwa uongo wa ziada.
 

tupe ushahidi wa picha
 

Perception yangu haikubaliani na uongo wenu, mpaka mkiri kuwa huu mnaoutetea ni uongo au msepe. Na nimeonesha wazi kuwa huu mnaoutetea ni uongo dhahiri shahiri. Sasa wewe unachozidi kukitetea ni nini? au imewauma mlikuwa mmalizie kwa "kuokoka"? nimewabamba?

Maana unababaika, mara sijui "takwimu" mara sijui "perception". Hata unachopingana nami hukielewi ni nini unachokipinga, hivi unaweza kushindana na ukweli kwa uongo wenu?

Haya tuoneshe wewe "Hudson University" aliyosoma mwalimu wako TRIPLE H iko wapi zaidi ya kwenye maigizo ya Hollywood.

Mimi nimeweka wazi hakuna kitu kama hicho Canada. Sasa wewe na mwalimu wako na wenzako wote mnaotetea huu uongo njooni mnioneshe ukweli wenu na jamii inatusoma hapa. Mkinionesha hiyo "Hudson University" iliyopo Canada mimi ntaomba ban ya maisha humu JF maana ntakuwa sina pakuweka id yangu.
 

Faiza Mwenzio Kaangalia Movies Kaona Hizo Sehemu Na Kajua Ni Kweli Imebaki Kidogo Tu Angetwambia Na Mystic Falls Ni Moja Kati Ya Maeneo Aliopita Mimi Toka Mwanzo Nasema Hoja Yake Haina Mashiko Mkaniona Mfupi...


"Rakims"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…