Sitaki tena kupaa angani

Aliyeanza kumalizia hii hadithi kwa kwenda kanisani na kutaka kututia mkenge ni nani? rudia hiyo post uone aliyeanza udini.

Au kanisani hakuna dini?

Ila aliyeanzisha huu uzi na aliyesema maswala ya kanisani ni watu wawili tofauti hukupaswa kuwajumuisha kuwa lengo lao ni moja.Alaf pia sijakataa kuwa mshana jr hajataja kanisa,amelitaja..lakini kulitaja kwake hajam-attack mtu yeyote.

Ila ukiangalia comment yako hii,na comment zako zingine nyingi ambazo nishaziona huwa unaenda direct kwa mtu na kum-attack kupitia dini kitu ambacho sio kizuri dada angu.

Dini ni IMANI,na pia lengo mojawapo la kuwepo na dini ni kuleta AMANI

Tusiitumie kinyume na kuharibu lengo.


"Analyse"
 
Last edited by a moderator:

Boss Vp? Umelewa kama ahmada?
 
Boss Vp? Umelewa kama ahmada?

Sipendagi maudhi na nina viwango vya uvumilivu kama binadamu yeyote yule my! Tunalumbana kwa hoja na mambo yanaenda, anapotokea mmoja akawa na endless direct attacks kwako binafsi na kwa imani yako, huyo anakuwa na akili finyu tena finyu hasa
Naheshimu sana imani na maoni ya wengine hata kama sikubaliani nayo lakini sijawahi kushindana lugha na mtu kwa kiwango hiki, nikiona sikubaliani nawe namute hili ni jukwaa huru naenda mbele kufanya mengine
Niwie radhi Angel Nylon kwa hili lakini sikuwa na jinsi
 
Last edited by a moderator:
MkuuTE0]To me you are jus another s.h.I.t, smalltime b.!t.CH, dhaifu wa hoja usiye na lolote, mpuuzi fulani mwenye akili finyu kama matako ya bata...! Wewe kwangu ni kinyesi tu na kinyesi sehemu yake ni chooni
Faiza sole yangu ya kiatu ina thamani kuliko wewe mara milioni[/QUOTE]
Haa! Vp tena Mkuu? Umepoteza kabisa?
 
mshana jr dont go that far brodah!!
Btw karibu tupate iced caffee late hapa tumalize jion salama
sawa mdogo wangu?
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo hayo mliyokusudia, kutupeleka kanisani, nilijuwa hiki kisa cha uongo kitaishia huko tu.

Wewe utabiri nini wewe? wacha uongo, hakuna aijuae kesho.

Ni naomba kuuliza tu kama angesema aliingia masjid kupiga swala je stori yake nzima ingekua uongo?

NB:naomba jibu tu mengine baki nayo
 
Yeah sikuwa na jinsi kwakweli hebu jaribu kupitia post zangu tangu mwanzo wa hii post utapata picha kamili

Pole mkuu,

Kuna wakat baadhi ya watu wanatulazimisha tutumie lugha ngumu ingawa siyo tabia yetu.
 
mshana jr dont go that far brodah!!
Btw karibu tupate iced caffee late hapa tumalize jion salama
sawa mdogo wangu?

Pole mkuu,

Kuna wakat baadhi ya watu wanatulazimisha tutumie lugha ngumu ingawa siyo tabia yetu.

Hakuna kitu kibaya kushambuliwa na mtu tena kwa hoja nyepesi na dhaifu kwakuwa tu hukubaliani naye kimtazamo na mna imani tofauti! This is too low...!
 
Last edited by a moderator:
Aliyeanza kumalizia hii hadithi kwa kwenda kanisani na kutaka kututia mkenge ni nani? rudia hiyo post uone aliyeanza udini.

Au kanisani hakuna dini?

So we ulitaka amalizie kwa kwenda masjid hapo ndo ungeikubali hiyo hadithi yake
 
So we ulitaka amalizie kwa kwenda masjid hapo ndo ungeikubali hiyo hadithi yake

Hatuna upuuzi huo Waislam, hatuna haja ya kuwadanganya watu ili waende Masjid, milango ya Masajid i wazi na unaingia muda wowote ule unasali unasepa, anaekwenda haya asiyekwenda haya. Kazi ni kwako.
 
Mi sijakuelewa mkuu unapa kwa kutumia ninii. Hupati raha kivipi kwani mazingira ya shughuli zako hizo ni za kustaajabiaha mkuu??
 
Mkuu,nifundishe mimi! Nitembezee dudumizi vitoto vya kihindi na kiarabu kkoo na upanga pale,then kila giza likianza bongo naenda far west mi ni mchana kwa mchana! Ibiza to carifonia to ....! No visa wala passport huu ni uzushi tuu!
 
Astra projection
 
Nitajifunzaje hii kitu ila isihusiane na uchawi plz
 
Tafadhali namba zangu hizi naomba tuwasiliane ili nipate uzoefu juu ya jambo hilo limenivutia sana naweza jifunza kitu 0756805540
 
Ungemwazia vibaya angekuuliza "kwa nini unaniwazia hivyo?" au "kwani nimekukosea nini hadi utake kuni...." tabia hiyo ilishangaza wengi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…