Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo ni uongo hauna mjadala na wewe umekiri kuamua kujifunza uongo.
Wewe binafsi yako ni muongo na nimesha kubamba humu humu JF zaidi ya mara moja ukidanganya watu, kwa hiyo sikushangai ukeindelea kuutetea uongo wa wazi kabisa.
Mimi ni wrong number. Kumbuka hilo.
Acha zako za kizandiki wewe ! Unafikiri unajua kila kitu! Jitokeze basi kwa uhalisia wako kama mimi badala ya kujificha kwenye jina bandia
Kwanza kujiita Faizafoxy tayari ni tatizo naheshimu discretion za watu lakini wale ambao ni positive thinkers not like you ambaye unalazimisha unachotaka yet umejificha kwenye giza! Nikwambie kitu AM BETTER THAN YOU A THOUSAND TIMES
Perception creates reality 'wrong number' tells it all! Mipasho peleka uswazi
Shukra .nimekuelewa vzr.kama ni hivyo hata mimi ningefanya.!Ni sahihi kabisa lakini nilikuwa mafunzoni na hiyo ni kati ya 1996-1999 kupitia huko niliweza kujifunza kwa uhalisia wake nini maana ya kuabudu miungu na 'watu wa mataifa' nimejifunza vingi ambavyo vimenijenga kiimani zaidi na ndio maana kwenye mivurugano ya kidini hapa jamvini huwa nawaona ni wapuuzi tu wale wanaotoana jasho kudhihaki imani za wengine wakidhani wao ndio bora zaidi
ff na mshana turudi kwenye mada, hayo mengine ni binafsi, yapelekeni pembeni` tunataka yenye manufaa
Eti jitokeze, kujitokeza ndiyo husemi uongo? Umejitokeza nini? kuwa verified ndiyo utambe, kwa sasa bado, huwaoni waliojitokeza? Unanchekesha!
Mara ngapi nimekubamba unadanganya humu na unaendelea kudanganya na umekiri unajifunza kudanganya.
Hapa ukidanganya na nikijuwa kama unadanganya nnakupa za uso "live" huyo ndiyo FaizaFoxy.
Lazima mjifunze mkipenda msipende na tunajuwa huwa mnajifanya mnajuwa huku mnajijuwa kuwa mnadanganya, sasa akitokea anaeujuwa ukweli na akawaumbua huwa mnatokwa povu na kukasirika sana. Kwangu mtatokwa povu kila siku mpaka mfikirie mara mbili mbili kabla hamjaandika uongo humu. Kumbuka hilo.
Maana nyinyi hamjafunzwa kwenu, sasa dunia itawafundisha. Usifikiri watu wote wanaishi kwa uongo kama wewe na huyo Mwalimu wako anaekufundisha uongo TRIPLE H, eti "jiji la Ontario"? my rear.
That's all you can say but whatever the case to me FF you are empty minded redhead
Lugha za watu hizo jamani, msiwe na kiherehere nazo.
Unabwabwaja na kuhororoja bila mpango, hata hujuwi ukiandikacho kina maana gani, halafu wasiojuwa Kingereza wanakuona wa maana kweli hapo.
Amma kwa hakika unazidi kujidhihirisha kuwa shule ulienda kusomea ujinga na uongo.
Sawa Mrs punguani wahed jali yako mengine achana nayo!
Sawa Mrs punguani wahed jali yako mengine achana nayo!
Hapa kuna Jamii na hii ni Jamii forums. Ukileta uongo ujifikirie mara mbili, sitajali yangu ntaijali jamii kuwaeleza ukweli ni upi.
Hizo shule kama ziliwafundisha ujinga, kaa kwa utuvu uwe unapata darsa la FaizaFoxy kupitia humu humu JF.
Huwa sikisii.
Hahahahaaaa vituko havitakaa viishe duniani loh! Yani kupata mimi kupata darasa toka kwako wewe!!!!pyuuuu! What a joke hiki chaweza kuwa kichekesho cha mwaka
Nnauhakika unafaidika sana kwa darsa langu. Na leo pia umeendelea kufaidika na darsa, sasa hivi unaelewa kuwa Ontario siyo jiji, Saskatchewan siyo Mji na Fort Hills siyo mji. Uliyajuwa yote hayo kabla ya mimi kuumbumburusha uongo wa huyo Mwalimu wako?
Fikiri.
Umeambiwa huyo jamaa alikuwa analala na wanawake pasipo wao kujua, ndivyo unavyotaka?!Jaman nataka kupaaa usinibanie bana
Hata me nimemshangaa
Mada imehama kabisaaaaa et kisa mshana jr na faiza,,, jaman!
Never on earth trust me! Nina jinsi yangu ya kujifunza na niko wazi kuhusu hilo sifanyi kificho, ndio maana nikawa muwazi hapa kwenye somo la kupaa
Sihitaji kujua kama Ontario ni jiji au ni mji hicho sio kipaumbele changu, ningeamua kukariri majiji ya ulimwengu huu ningeshafanya hivyo