Sitaki tena kupaa angani

Sitaki tena kupaa angani

That's your perception na uwezo wako wa kufikiri unaishia hapo! Halafu sijui upstairs kwako kuna shida gani hivi MTU akikwambia hana time na wewe huelewi? Unataka mpaka upigiwe ngoma masikioni ndio uelewe?
Siwezi kuendelea kulumbana nawewe KWAHIYO POST YANGU YOYOTE KAA NAYO MBALI!!! KAMA UNA MASIKIO YA KUSIKIA SIKIA KAMA UNA AKILI YA KUELEWA ELEWA

Labda Niseme Hivi mshana jr Kaona Kitu Kingine Tofauti Na Hiyo Mnayoona Miji Ya Ontario Hudson chuo na nini!! huwenda yeye hapa anachotafiti Ni How To Learn From TRIPLE H on How To Fly, Kujifunza Sio Vibaya Japo Kadanganya Danganya Lakini There Is Something Behind His Lies Kama Kudanganywa Watu Wanadanganywa Sana Mimi Pia Niliwahi Kudanganywa Na Mama Kuwa Nioge Twende Safari Lakini Nikaoga Hakukuwa Na Safari Nilikuwa Under Five Years.... Kwani Can You Count How Many Times Ulishawahi Kudanganywa? ni Mara Nyingi..
we Dont Need Someones Face Or Faith All We Need Is His Knowledge... Tukiona Kitu Kina Faida Tunatake Tukiona Hasara Tunamuachia Ya Ngoswe Tunamuachia Ngoswe.....!!!


"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Labda Niseme Hivi mshana jr Kaona Kitu Kingine Tofauti Na Hiyo Mnayoona Miji Ya Ontario Hudson chuo na nini!! huwenda yeye hapa anachotafiti Ni How To Learn From TRIPLE H on How To Fly, Kujifunza Sio Vibaya Japo Kadanganya Danganya Lakini There Is Something Behind His Lies Kama Kudanganywa Watu Wanadanganywa Sana Mimi Pia Niliwahi Kudanganywa Na Mama Kuwa Nioge Twende Safari Lakini Nikaoga Hakukuwa Na Safari Nilikuwa Under Five Years.... Kwani Can You Count How Many Times Ulishawahi Kudanganywa? ni Mara Nyingi..
we Dont Need Someones Face Or Faith All We Need Is His Knowledge... Tukiona Kitu Kina Faida Tunatake Tukiona Hasara Tunamuachia Ya Ngoswe Tunamuachia Ngoswe.....!!!


"Rakims"
Rakims kwenye kitu chochote kile mimi huwa naangalia nataka nini, ambacho huwa sikihitaji nakiweka kapuni! This is my point, kwa mfano kwenye post yangu kilichomchanganya yule mwanamke ni interest yangu ya kutaka kujifunza kupaa hapo ndio chanzo

Unajua tunafeli katika maisha kwa kukosa kujua tunataka nini....Jamaa mmoja alichomwa mkuki ubavuni na mtu asiyemjua akapelekwa hospital kufika kule akakataa kuhudumiwa mpaka ajue aliyemchoma ni nani, kamchoma kwasababu gani, ni jinsia gani, kwanini akakimbia nk nk
Haya hayakuwa na faida kwake alichotakiwa ni kukubali tuba

Tukinunua tunda hatulili lote kuna vitu tunavitupa hatuvihijati! Katika maisha unaangalia unataka nini kwenye nini! Hii post imeharibika kwakuwa tumetoka kwenye lengo la post na kuanza kuleta ithibati za mitandaoni kuwa hiki ni kweli hiki so kweli huyu ni muongo huyu anamtetea huyu

Wewe kama Rakims nafikiri unaelewa nini maana ya 'middleway practice' be straight chagua tu kile unachotaka vingine vyote ni takataka ukiijua hii hutakaa ulumbane au kugombana na yeyote hata Siku moja
 
Last edited by a moderator:
Rakims kwenye kitu chochote kile mimi huwa naangalia nataka nini, ambacho huwa sikihitaji nakiweka kapuni! This is my point, kwa mfano kwenye post yangu kilichomchanganya yule mwanamke ni interest yangu ya kutaka kujifunza kupaa hapo ndio chanzo

Unajua tunafeli katika maisha kwa kukosa kujua tunataka nini....Jamaa mmoja alichomwa mkuki ubavuni na mtu asiyemjua akapelekwa hospital kufika kule akakataa kuhudumiwa mpaka ajue aliyemchoma ni nani, kamchoma kwasababu gani, ni jinsia gani, kwanini akakimbia nk nk
Haya hayakuwa na faida kwake alichotakiwa ni kukubali tuba

Tukinunua tunda hatulili lote kuna vitu tunavitupa hatuvihijati! Katika maisha unaangalia unataka nini kwenye nini! Hii post imeharibika kwakuwa tumetoka kwenye lengo la post na kuanza kuleta ithibati za mitandaoni kuwa hiki ni kweli hiki so kweli huyu ni muongo huyu anamtetea huyu

Wewe kama Rakims nafikiri unaelewa nini maana ya 'middleway practice' be straight chagua tu kile unachotaka vingine vyote ni takataka ukiijua hii hutakaa ulumbane au kugombana na yeyote hata Siku moja

በi kweli Hapa Panaitwa The Home Of Great Thinkers Lakini Wengine Wanapafanya Dampo...


"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Rakims kwenye kitu chochote kile mimi huwa naangalia nataka nini, ambacho huwa sikihitaji nakiweka kapuni! This is my point, kwa mfano kwenye post yangu kilichomchanganya yule mwanamke ni interest yangu ya kutaka kujifunza kupaa hapo ndio chanzo

Unajua tunafeli katika maisha kwa kukosa kujua tunataka nini....Jamaa mmoja alichomwa mkuki ubavuni na mtu asiyemjua akapelekwa hospital kufika kule akakataa kuhudumiwa mpaka ajue aliyemchoma ni nani, kamchoma kwasababu gani, ni jinsia gani, kwanini akakimbia nk nk
Haya hayakuwa na faida kwake alichotakiwa ni kukubali tuba

Tukinunua tunda hatulili lote kuna vitu tunavitupa hatuvihijati! Katika maisha unaangalia unataka nini kwenye nini! Hii post imeharibika kwakuwa tumetoka kwenye lengo la post na kuanza kuleta ithibati za mitandaoni kuwa hiki ni kweli hiki so kweli huyu ni muongo huyu anamtetea huyu

Wewe kama Rakims nafikiri unaelewa nini maana ya 'middleway practice' be straight chagua tu kile unachotaka vingine vyote ni takataka ukiijua hii hutakaa ulumbane au kugombana na yeyote hata Siku moja

Hivi utajifunza kwa mtu anaedanganya hata jiji au mji au chuo, huyo atakufundisha kupaa au unazidi kuyanikisha nnayoaandika humu kila siku "Jee, hizo shule mlienda kujifunza ujinga"?

Niliandika anadaangaya, wewe ukatetea, sasa nimekwambia mjibie, mwaka 90 yupo Canada hajui kuwa Ontario ni jimbo na eti labd liwe baada ya hapo, wakati hilo ni katika majimbo mawili ya mwanzo ya Canada, na nimebainisha hilo.

Anakwambia kasoma Canada, na chuo alichokitaja hakipo Canada, na nimedhihirisha hilo na nimesema kama kipo mimi nnaomba ban ya maisha na hamtamuona tena FaizaFoxy Jamii Forums, mmeshindwa kuthibitisha.

Sasa hivi unajidai eti "najifunza kupaa"! Wewe unajifunza ujinga na si kupaa. Ikiwa unakubali kufundishwa na muongo na mjinga basi sijui mwanafunzi unakuwaje? Jibu wewe, mimi nikisema utasema nnakushambulia.

Hayo mambo ya "middle way practice" ya meditation usimuulize kabisa mtu aujuae Uislam wake, sisi kuanzia wadogo tunafundishwa kuhusu "moderation", na hakuna mwenye ku meditate dunia hii zaidi ya Muislam, kwa uchache tunafanya hivyo mara tano kwa siku, kumbuka hilo, mbali na zile "meditation" za kisufi, ambazo hujawahi hata kuzisikia. Una menfgi sana ya ya ukweli ya kujifunza kutoka kwa watu wa kweli na si kujifunza kwa muongo.

Bora ujifunze kutoka kwa mwendawazimu, au chizi au mwehu kuliko kujifunza kutoka kwa mtu muongo. Kumbuka hilo.

Labda ukapaishe mananihii yako, nilishakwambia awali huko.
 
Huyu triple h kweli ni muongo, sijui lengo la kuidanganya JF ni nini hasa! Hiyo habari ya kusaidiwa na Membe naiweka pembeni, wengi hampendi mambo yenu kufahamika, usije nitoa roho.

Haaaaa ndugu unaogopa tena??FaizaFoxy hana izo bana,me naisi jf ni sehemu huru sana kimawazo ila tu usimtukane mtu au kukashifu mtu ndugu,upo huru kuongea unachokitaka lakin tu usivunje sharia za JF
 
በi kweli Hapa Panaitwa The Home Of Great Thinkers Lakini Wengine Wanapafanya Dampo...


"Rakims"

Ni kweli kabisa lakini ni vema tukapokea kila kitu kisha tukachagua cha kuondoka nacho! Soma changanua, chambua, kinachokufaa chukua kakifanyie kwa uelewa wako na manufaa pia
Kisicho na mwelekeo unakipotezea kwakuwa hulazimiki kupokea na kukubali kila kitu
 
Ni kweli kabisa lakini ni vema tukapokea kila kitu kisha tukachagua cha kuondoka nacho! Soma changanua, chambua, kinachokufaa chukua kakifanyie kwa uelewa wako na manufaa pia
Kisicho na mwelekeo unakipotezea kwakuwa hulazimiki kupokea na kukubali kila kitu

Naam, na mkileta uongo na tukiujuwa kuwa ni uongo tutawapa wazi wazi ukweli ulivyo ili msipoteze wengi.

Na nyinyi msemao uongo muelewe kuwa kuna watu humu hawakubaliani na uongo, wakiujuwa tu, mnalo.
 
Haaaaa ndugu unaogopa tena??FaizaFoxy hana izo bana,me naisi jf ni sehemu huru sana kimawazo ila tu usimtukane mtu au kukashifu mtu ndugu,upo huru kuongea unachokitaka lakin tu usivunje sharia za JF
Unamfahamu vizuri?
 
Duuuh!! FF unapenda ligi we ni Muha nini? Tutakuloga vidole hivyo tuvikung'ute ukoma halafu tuone je utatumia vipisi?
 
Unamfahamu vizuri?

Tangu kitambo sana nafatilia sana jf lakin nilikuwa sijajoin ndugu na kuhusu FaizaFoxy Namfahamu kutokana na kuandika kwake na kuongea kwake kupitia kuchangia humu jf ndugu
 
Naam, na mkileta uongo na tukiujuwa kuwa ni uongo tutawapa wazi wazi ukweli ulivyo ili msipoteze wengi.

Na nyinyi msemao uongo muelewe kuwa kuna watu humu hawakubaliani na uongo, wakiujuwa tu, mnalo.

Sometimes I respect fools to avoid noises
 
Duuuh!! FF unapenda ligi we ni Muha nini? Tutakuloga vidole hivyo tuvikung'ute ukoma halafu tuone je utatumia vipisi?

Waongo mkishikwa kwa uongo wenu huwa mnahaha. Wewe jaribu tu, wala huna haja ya kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Sijawahi tishika kwa binaadam mwenzangu toka nizaliwe. Kumbuka hilo tu.
 
Sometimes I respect fools to avoid noises

Wewe avoid upendacho lakini kumbuka; mkileta uongo na tukiujuwa kuwa ni uongo tutawapa wazi wazi ukweli ulivyo ili msipoteze wengi.

Na nyinyi msemao uongo muelewe kuwa kuna watu humu hawakubaliani na uongo, wakiujuwa tu, mnalo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1427029789.729130.jpg
 
NILIKUMBANA NA CHANGAMOTO KUBWA WAKATI WA BARIDI KALI!!!

Siku moja Yokho Zim alinipigia simu(siyo simu zenu za kisasa hizi, simu ya ku whistle kiganja cha mkono wa kuume kikasafirisha sauti yako) nimkute mji fulani unaitwa Churchill tulikuwa tunataka kuwadili wanawake wa kiblazili masista duu waliokuwa wakijiona matawi ya juu. Wakati huo mimi nilikuwa mjini Winnipeg umbali kama wa maili 50 hivi kutoka Churchill. Nikiwa angani anga likawa zito sana kwa sababu nyakati za baridi kuna theluji tupu, nilijisikia mzito sana nikaanguka chini kwa kishindo puuu. Kwa kuwa nilianguka ghafla na sikuwa nafahamu sana maeneo hayo nilikosa direction kabisa na walinzi wa usiku wa doria walikuja mbio kwa sababu ya kishindo. Niliamuru upepo wa kisulisuli uje kabla walinda doria hawajanifikia unichukue, ukatokea nikaondoka nao kwa kasi bila kujua naenda wapi kwa sababu nilisahau kuuambia. Nilitulia angani nikiwa tayari kwa lolote lkn kwa bahati nzuri nikatua salama nje ya viunga vya jiji la Montreal kandokando ya mto St. Lawrence. Nililazimika kujifanya mvuvi wasinistukie lakini siku hiyo sitaisahau kamwe maishani!

= Msomi wa chuo huyo jamani hata kuandika Brazil hajui.

Winnipeg na Churchill ni zaidi ya Kilomita 1,000

Huyu mtu kuna kila uwezekano amma screws zake zipo too tight au too loose. Si bure.
 
tuoche kuuzunguka mbuyu,hizi knowladge zote hizi za kupaa usiku,sijui kutoka nje ya mwili nk.ni kati ya zile knowladge ambazo mw anadamu haruhusiwi kuzijua au kujifunza.mara nyingi hufundwishwa kwa siri kwenye ma lodge ya ki freemason kuendana na rank zao.be warned.

Umejuaje mkuu?
 
Back
Top Bottom