Sitaki tena kutembea na mashorobaro - Wema Sepetu

Sitaki tena kutembea na mashorobaro - Wema Sepetu

oi .. ! Nilifikiri amechoka Mapenzi.. oi Kumbe anataka zaidi...
 
Nipeni namba yake mimi nataka nimbadili awe anavaa full niqab kama katoka mogadisho vile,
 
Poleeeeeeee laiti ungevijua vizuri hivi viumbe vya kiume ungetulia tu mama.
 
hili nalo used sana bana...yaaani kila siku makeke ya kugombana na wanaume...aggghhh..bora lingekuwa liuza gongo tu
 
Huyu mtoto inaelekea ana mapungufu fulani ,ila anavyoonekana ni mtamu sana coz ana mapozi ya kiuswazi (ukiongezea na michezo ya kiuswazi) ambao kwa watoto wa kichaga ama wake tunaowaoa hawana.
Naweza nikapatiwa contact zake wadau.
 
Huwa anasema tu hivyo baada ya uhusiano wake kuvunjika,
wema sepetu hana bahati ya kupata mwenye pesa amtulize maana huyu dada amekuwa mara kadhaa akimegwa kwa promice za dili refu then wanamtelekeza,
haya mzigo uko sokoni sasa,
kwa weny midollar, mipaundi yao na wenye kupenda wanawake,
 
mmmmh! kweli wema anafanya biashara, yaani anafanya mwili wake kama kamali. leo kushoto kesho kulia, kazi kweli kweli
 
Wema anatakiwa kujitambua kwanza ndipo atafanikiwa atakacho,kuna mambo ambayo anafanya kwa kudhani ni mazuri kwa kila mtu kumbe sivyo.Atenge muda na achague aina ya maisha anayotaka kuyaishi vnginevyo ataishia pabaya.ushauri ni kujitambua na kuomba ushauri kwa watu sahihi kabla hajatenda ili anapochanganya na mawazo yake ajue anasimama wapi kama kweli ana nia njema kwa maisha yake as long bado ni binti mdogo.
 
yaani bado anatafuta wa kutembea nao tu?
 
Jmani naombeni namba ya wema mimi nimemzimikia cku mingi naoa kabisaa sitaki kuzungusha zungusha.
 
Angetulia kwanza japo watu wakasahau sahau kwanza,
Wenda mungu akamsaidia na kumpata mkweli na akamtuliza na kutunza familia!
 
hataki masharobaro au hataki wanaume kabisa????wema,kajala na company yake wameingia katika mchezo mbaya sana na wengi wanaingia humo....
 
Back
Top Bottom