Atulie vipi wakati ni ubavu wa hao Viumbe!Poleeeeeeee laiti ungevijua vizuri hivi viumbe vya kiume ungetulia tu mama.
Mkuu naona Umeanza kampeni na nia ndio ushatangaza sioI lov u Wema Sepatuu,Mx
Mtoto mnzuri yulee,sema kila akikabizi moyo kwa mtu,ndo hivyo tena wanamtafuna na kumpiga chini,MxMkuu naona Umeanza kampeni na nia ndio ushatangaza sio