Sitaki tena sitaki...

Heeeeeeeeeeee unajua ile siku ya 2011 ilipoanza nilikuwa kwenye mechi sasa ghafla nikastop na kuanza kushangilia mwaka mpya, huenda na hilo pia eti eeeehhhh?

mmmhh hilo kosa takatifu ..
huwezi stop mechi mpaka refa aseme..
unaniumbua mtu wangu...
 
Afrodenzi toa msaada ujue kuambiwa na mapenzi ya kichina kimeniuma sana mimi, au kuna mapenzi gani nimpe jamani? Maana neno likiwa na ......china...mie silipendi sasa hivi...

mi nadhani anaona mapenzi yako si ya kweli ni kama una copy kutoka mahali..

mfanyie au mpe kitu ambacho ulimpa/mfanyia mara ya kwanza mlipokutana..
kumwonyeshea kwamba wewe bado ni yule yule aliyekupenda mwanzoni..
ka ulimpeka holida zanzibar basi fanya hivo,
ka ulimpikia na kuremba meza ajili yake rudia hilo tena,,,

halafu kutokea hapo unaanza kuongeza mdogo mdogo tu..
usiache kufanya vitu vitamu ukianza otherwise atadhani umerudi kwa wa CHINA ..

AD
 


Na copy? wewe unaongeza maumivu kwa kidonda...kwa hiyo na copy na kupaste duh kweli mimi mapenzi yananipa shida...
 
Na copy? wewe unaongeza maumivu kwa kidonda...kwa hiyo na copy na kupaste duh kweli mimi mapenzi yananipa shida...

unajua kijikata kidole unaweka chumvi ili kiume zaidi lakini kitapona na kukauka haraka...

haya fanya vitu kama kweli vinatoka moyoni usifanye kwa sababu umeona kwenye JF hahahah lol
mie leo nakupa waziwazi sababu nakupenda lol
 
unajua kijikata kidole unaweka chumvi ili kiume zaidi lakini kitapona na kukauka haraka...

haya fanya vitu kama kweli vinatoka moyoni usifanye kwa sababu umeona kwenye JF hahahah lol
mie leo nakupa waziwazi sababu nakupenda lol


mama nitakudo as you ordered maana bila hivyo kweli nitajiju
 
Humfikishi kwenye kilele kama yule jamaa yake wa pembeni anayeishi sturtgat. ni PM nikuhabarishe zaidi umbea mara moja kwa mwaka si mbaya.
 
Humfikishi kwenye kilele kama yule jamaa yake wa pembeni anayeishi sturtgat. ni PM nikuhabarishe zaidi umbea mara moja kwa mwaka si mbaya.

Acha utani ndugu yangu, ujue presure tayari ishashuka hapa, soon mashine itahitajika mkuu...ina maana pale pale pale sturtgat wananichakachulia? ndo maana siku hizi safari za huko bibie haziishi...hahahaha
 
hewala mkuu mie nilidhani anamaanisha hivyo lkn mbona mie nampenda kinoma tuuu?au anataka mambo ya maua maana mie sijawahi kununua ua na kumpa....

dah pole
umenuna mwenyewe sjui umekasirika pole..

1.amekwambia ivyo kwa sababu UNAONYESHA MAPENZ/MAHABA KMUKITAKA KITU FULAN TOKA KWAKE
2.mapenz yako kwake si ya mfululizo yapo on n off acordng to the situation.
nawasilisha.
 

msubirie jion mwambie AKUDADAVULIE ALIMAANISHA NINI KUKWAMBIA UNA MAPENZ YA KICHNA..
 
Hawezi jua yako ni fake kama hayajui original........very simple,wapo waliomuonyesha hayo original kwake au mashosti wanaopendwa kwa staili anayofikiri ni original;my advice,kama bado unamuhitaji muulize unapokosea na anataka umpendeje na we uone kama unaweza mpenda atakavyo na ujitahidi,kama hataki ushazidiwa kete na watoto wa mujini,tulia aende akapate hayo original.akirudi utaona umpokee au uendelee na maisha yako,asiporudi ndo ilipangwa iishie hivyo,haikuwa riziki yako ya milele.
 
Uvuvuzela huo...jipange:sleep:
 
Heeeeeeeeeeee unajua ile siku ya 2011 ilipoanza nilikuwa kwenye mechi sasa ghafla nikastop na kuanza kushangilia mwaka mpya, huenda na hilo pia eti eeeehhhh?

Unaumwa wewe!!! Kupiga game na kushangilia mwaka mpya kipi bora? ndiyo maana Mapenzi yako sio ya kweli ( ya kichina)!!! Nyama weee!!!
 

Duh humu JF hamna encouragements watu mnakandamiza tuuu, jamani unaniweka njia panda, ina maana anachakachuliwa nje eeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhh...dah umeniumiza sana..
 
Unaumwa wewe!!! Kupiga game na kushangilia mwaka mpya kipi bora? ndiyo maana Mapenzi yako sio ya kweli ( ya kichina)!!! Nyama weee!!!


Naumwa Kichina au una maanisha nini? mwaka mpya jamani ni mara moja kwa mwaka na game kila siku, nilishangilia few seconds tu, kosa nalo eeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…