afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Heeeeeeeeeeee unajua ile siku ya 2011 ilipoanza nilikuwa kwenye mechi sasa ghafla nikastop na kuanza kushangilia mwaka mpya, huenda na hilo pia eti eeeehhhh?
mmmhh hilo kosa takatifu ..
huwezi stop mechi mpaka refa aseme..
unaniumbua mtu wangu...