thax dada ni upuuzi tu huu..kwanza amezini ,haoni hata aibu..eti kangatwa angemla kabisa hicho kipochi..kiishe tuone atakuwa anasimulia nini
ahahaaa thax kwa wishes dearUmechange user name bidada?
Surely you pillows must be very lucky to have ur warmth every nite! LOL
ni maumbile tu ilikuwa mara ya kwanza hata wenzio tuliumia hivohivo lakini kiwango cha maumivu inategemea mwanaume yuko gentle kiasi gani na ufahamu wake jinsi ya kukuandaa kisaikolojia na kimwili!hilo tedno sio baya mwaya though najua first impression stays!jiuguze na wala usimchukie huyo mwanaume inawezekana na yeye hakutegeme kuwa uko hivyo so ilikuwa ni shock!so jiuguze taratibu kisha next tym mweleze awe gentle utainjoy,love making ni raha mydear!yani dah acha kabisa uklichukia hili tendo utakuwa unajikosesha raha ya dunia bana!Kwa kweli ilikuwa ni mara ya kwanza na nilidhani kuna raha ambayo wenzangu wanapata, kumbe maumivu matupu!!! Ngoja niuguze haya majeraha baadaye nitafute uwezekano wa kuwa mtawa, maana sitaki mateso ya aina hiyo yanipate tena.
Kama wewe unampenda ungemfundisha afanyaje ili usikie utamu.Nami mara ya kwanza nilipokutana na girl friend wangu alikuwa ni mwenyeji wa Songea nilikuwa sijui hata jinsi ya kufanya mapenzi vizuri.Nilichokuwa najua nikuchomeka na kuchomoa basi.Girl Friend wangu alinifundisha michezo yote inayotakiwa mkiwa kitandani.Japo siku ya kwanza tulikuwa tunaoneana aibu lakini kadiri siku zilivyokuwa zinakwenda nilikuja kuwa mtaalamu wa mambo hayo na kila mtu alifurahia tendo la ndoa kila tulipokuwa tunakutana.Hadi leo namshukuru sana japo hatukubahatika kuoana.
teh teh hata sijui dear! kwani inamsaidia nini hata labda kupata pf3lucymito,wewe huzini?ila jamani issue nyengine au labda mimi ni wa kizamani,kwangu mimi nisingeweza kuleta humu
alokuambia ni raha nani?Kwa kweli ilikuwa ni mara ya kwanza na nilidhani kuna raha ambayo wenzangu wanapata, kumbe maumivu matupu!!! Ngoja niuguze haya majeraha baadaye nitafute uwezekano wa kuwa mtawa, maana sitaki mateso ya aina hiyo yanipate tena.
daah pole sana.! ila nahisi humpedi huyo jamaa! au uwezo wako kutafakari mambo sio mkubwa.! na labda umri wako pia! mii nakushauri umpe tena maana nahisi jamaa alikuwa na kiu nawewe na mwenye kiu akipewa huwa hajuwi kukadilia.! sasa kuwa mkweli kwake na hayo majeraha muonyeshe hapo utaona kama alifanya makusudi au raha zilimlemea.
ahahaaa thax kwa wishes dear
nimechange bwana kila kitu i want to be new!
Wapenzi wa JF, nimeamua kushare nanyi kisa hiki cha ukweli kuhusu yale yaliyonisibu usiku wa kuamkia leo. Nimekuwa na huyu mchumba wangu kwa zaidi ya miaka 2 sasa. Ni kijana msomi, mtanashati anayetokea moja ya mikoa ya kanda ya ziwa. Kwa muda mrefu mchumba amekuwa akiniomba tuonje 'tunda la kati' nikawa namtolea nje kwamba wakati wake bado. Jana usiku mchumba aliniita kwake, nilipofika aliomba kuonja tunda, nami nikaone nisimkatalie ili nami niionje hiyo raha nitakayokutana nayo hapo baadaye akishakuwa hubby wangu.
Cha kusikitisha na ambacho kimenifanya niamue kwamba sitaki tena ni kwamba jamaa linatwanga ovyo ovyo utadhani linafukuzwa. Kwa kweli sikuiona hiyo raha niliyoitegemea hata kidogo. Kibaya zaidi jamaa limening'ata "chakula ya mtoto" hadi kuniachia majeraha makubwa. Asubuhi hii nimeamkia kwenda hospital mwananyamala, daktari amekataa kunitibu anadai hadi niende na PF3. Nimeshindwa jinsi nitakavyoripoti polisi ili niipewe hiyo PF3. Jamani nipeni pole mwenzenu nateseka!
Najiuliza kama njemba ni memba la hapa JF, na demu ndo kishaharibu hivi, akijirudisha tena si atang'atilia mbali kisim.i akitafune kama mshikaki?Chezea GANZI za miaka miwili weye:eek2:..? naamini njemba liliacha"kikombe" mtungini:loco:. ila historia huonesha wengi wa aina yenu mnarudisha majeshi..visirani vikisha utamtafuta tu..!!:evil:
Nlikuwa sijakuelewa mpaka nlipotazama avatar.... mwanamke mfukunyuku wewe, khaa! Au ufunyuku nao sunna? Hahahaha!Umechange user name bidada?
Surely you pillows must be very lucky to have ur warmth every nite! LOL
Hii inaitwa name calling, ni kinyume na sheria na kanuni za JF; akikusoma Paw hapa unaenda Lupango. Usijali, sijam-mention, nimebold tu jina lake. Nikikukosa wewe hapa jamvini nakosa appetaiti ya ugali. Na mimi nisipokula ugali napata minyoo. Na nikipata minyoo sili kitimoto, na nsipokula kitimoto napungukiwa na kinga mwilini kwakuwa kitimoto ni ARV.
Pole
ila sidhani kwamba hiyo bad sex ya mara moja inatosha kumdisqualify mtu kabisa unless kuna matatizo mengine. Hivi how was you 1st day, were u the expert you are today? whatif huyo alokuanza angekutema kama unavyotaka kumtema huyu ungejisikiaje?
nakushauri, ongea naye kwamba love making has to be slowly na inakuwa nzuri zaidi kama unakuwa unaisikilizia na si kula kwa pupa. mfundishe taratibu, asipofundishika ndipo uchukue hayo maamuzi unayotaka kuchukua.
mwisho, sidhani kama hili lilifaa kuleta jamvini (kwa mtazamo wangu) unless unajisikia vyema kwa kumsagia huyo mwanaume aliyeshindwa kumeet your expectation; fikiria upande wa pili, mkaka aje humu na thread ya kumsagia mdada kuwa alikuwa na shimo kubwa au alikua anatoa harufu, nina imani nawe ungeshirikiana nami kumsema huyo mkaka asivyo na staha. So tuheshimiane na kusaidiana, kwani wote hatujazaliwa tunajua!