Sitakubali kuona Mwizi au Kibaka yeyote apigwe hivi hivi..

Sitakubali kuona Mwizi au Kibaka yeyote apigwe hivi hivi..

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Habari. Uzi mfupi wa taarifa.

Katika maisha yangu, sitakaa nikakubali au nikaona mwizi atapigwa na raia wema na kuachwa hivi hivi..

Nitahakikisha anachomwa moto na nipo tayari kuchangia hela ya mafuta na tairi.

Wezi mlioiba na mnaopanga kuiba mlaaniwe kabisa mbwa mwitu nyie.

Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.

Malipo hapa hapa.
 
Habari. Uzi mfupi wa taarifa.

Katika maisha yangu, sitakaa nikakubali au nikaona mwizi atapigwa na raia wema na kuachwa hivi hivi..

Nitahakikisha anachomwa moto na nipo tayari kuchangia hela ya mafuta na tairi.

Wezi mlioiba na mnaopanga kuiba mlaaniwe kabisa mbwa mwitu nyie.

Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.

Malipo hapa hapa.
Dah😬
 
asa siku ukija kugundua wizi unaoibiwa na serikari yako utaifanya nn mjomba?? si utachoma ikulu kabsa??[emoji3][emoji3]
 
Habari. Uzi mfupi wa taarifa.

Katika maisha yangu, sitakaa nikakubali au nikaona mwizi atapigwa na raia wema na kuachwa hivi hivi..

Nitahakikisha anachomwa moto na nipo tayari kuchangia hela ya mafuta na tairi.

Wezi mlioiba na mnaopanga kuiba mlaaniwe kabisa mbwa mwitu nyie.

Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.

Malipo hapa hapa.
Mkuu pesa na mali hutafutwa, kikubwa upo hai jambo kubwa ni kuomba Neema zake,
Juzi wamemkaba dada Angela Mbozi....Rest easy Angela
 
Ila si kila azaniwaye kuwa ni mwizi, kwamba ni kweli! Wengine huwa ni kusimngizia tu au ni kujichanya tu.
 
Hapa unaongea nimetokea kuona mwiz kapigwa kibiriti na watu wa bodaboda.sijajua hata aliiba nimi
 
Mim waliniibia pale mawasiliano stata ya scania na vitu kama vya milioon mbili HV ,

Shida ya kuwachoma Moto hatuna uajsiri huo hata kumkata tu na panga siwezi katu ,nimekamata mwinz red handed Ila niliashia tu kumpiga piga na Kisha nikawachia police kazi na kesi hyo alikuja kutoka baad Aya kukosekana kwa ushahidi
 
Back
Top Bottom