Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
This too shall pass
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa walimpigilia msumali kichwaniNikikamata mwizi wala simpigi namuweka mdomo wake kwenye exhaust..(bomba la moshi) then napiga resi kadhaa then namuacha..
Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.[emoji3064] pole sanaHabari. Uzi mfupi wa taarifa.
Katika maisha yangu, sitakaa nikakubali au nikaona mwizi atapigwa na raia wema na kuachwa hivi hivi..
Nitahakikisha anachomwa moto na nipo tayari kuchangia hela ya mafuta na tairi.
Wezi mlioiba na mnaopanga kuiba mlaaniwe kabisa mbwa mwitu nyie.
Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.
Malipo hapa hapa.
Umekuta mtu karuka ukuta wako utasema kasingiziwa?Ila si kila azaniwaye kuwa ni mwizi, kwamba ni kweli! Wengine huwa ni kusimngizia tu au ni kujichanya tu.
Daah,mm nimeshawahi kushiriki kukata kichwa asee,ila huruma huja kidogoMim waliniibia pale mawasiliano stata ya scania na vitu kama vya milioon mbili HV ,
Shida ya kuwachoma Moto hatuna uajsiri huo hata kumkata tu na panga siwezi katu ,nimekamata mwinz red handed Ila niliashia tu kumpiga piga na Kisha nikawachia police kazi na kesi hyo alikuja kutoka baad Aya kukosekana kwa ushahidi
Alishirikiana na wezi?Yupo jela sahivi. Na CCTV imewaonesha. Mlinzi ndio msimamizi wa fremu. Ngoja ale uji wa jela kwanza.
Wana account jf sasa. ?Habari. Uzi mfupi wa taarifa.
Katika maisha yangu, sitakaa nikakubali au nikaona mwizi atapigwa na raia wema na kuachwa hivi hivi..
Nitahakikisha anachomwa moto na nipo tayari kuchangia hela ya mafuta na tairi.
Wezi mlioiba na mnaopanga kuiba mlaaniwe kabisa mbwa mwitu nyie.
Usiku wa jana mmenirudisha nyuma hatua 2,000 yaani kaduka nilikoangaika kukajenga kwa miaka 3 mmeacha viti, meza, na fenicha zingine tu.
Malipo hapa hapa.