Sitakuoa kwa sababu ninakupenda bali kwa sababu unastahili kuolewa na Mimi

Sitakuoa kwa sababu ninakupenda bali kwa sababu unastahili kuolewa na Mimi

SITAKUOA KWA SABABU NINAKUPENDA, BALI KWA SABABU UNASTAHILI KUOLEWA NA MIMI.

Anaandika, Robert Heriel.

Naweza kukupenda lakini nisikuoe kama haustahili. Ninauwezo wa kuutiisha moyo wangu ufanye kile akili yangu itakavyo.
Kichwa cha habari tuu.. kimejitosheleza nitarudi
 
Ngoja niweke sawa taikon!!

Usioe kwasababu ya nyege na huruma kwa mwanamke!!
 
Katika kitu ambacho namshukuru Mungu na ni moja ya neema kubwa aliyonipatia ni kunipa mke anayenipenda na kunihitaji!! Sikumfuata wala kumtongoza ila alinitafuta mimi na kueleza hisia zake kwangu !! She really loves me, thanx God for that blessing.

Funzo kwa vijana, don't ever chase a woman, let her chase you!! You will enjoy the life.

Mtangulize Mungu ktk dua na sala zako na muombe akuruzuku mke mwema, hakika hakuna raha na starehe kwa mwanaume kama kumpata mke mwema.

Mke mwema atakupenda,atakutii, atakuheshimu na atakulindia mali zako pindi wewe haupo.
 
Katika kitu ambacho namshukuru Mungu na ni moja ya neema kubwa aliyonipatia ni kunipa mke anayenipenda na kunihitaji!! Sikumfuata wala kumtongoza ila alinitafuta mimi na kueleza hisia zake kwangu !! She really loves me, thanx God for that blessing.

Funzo kwa vijana, don't ever chase a woman, let her chase you!! You will enjoy the life.

Mtangulize Mungu ktk dua na sala zako na muombe akuruzuku mke mwema, hakika hakuna raha na starehe kwa mwanaume kama kumpata mke mwema.

Mke mwema atakupenda,atakutii, atakuheshimu na atakulindia mali zako pindi wewe haupo.


Naam MKUU
 
Back
Top Bottom