Sitakusahau Morogoro Msamvu

U


Ulizozana nini sasa? si ungempa hiyo 30.000? sasa kama 30.000 uliiona ina thaman subiri fedheha? na unalalaje na mtu usiyemjua? hivi nyie wagalatia ni nani aliyawaloga?
Safiiiiiiiiiii wagalatia hawataki ujinga zambi inaendelea kuwatafuna taratibu
 
Duuh.....kwa maneno haya jamaa asipoacha basi pepo la msamvu halitomtoka.
 
Hata mi nimeshangaa kweli kweli analeta bei za Moshi town Msamvu unapiga hata kwa 5000 eti.
Mkuu nenda mitaa ya msamvu kwa juu kama unaelekea kihonda kuna hotel inaitwa filomi pemben yake ndio kuna hizo bar na wametega pale coz wanajua mtu kulala hapo hotel yupo vizuri
 
Yaani bwana mdogo unapost uongo? Kesho unione ofisini
 
Duh! Mkuu inaonekana ww ni mgeni kwny hayo mambo! Hao malaya wa msamvu mm nlisha kutana nao sana na mara nying wanataka prepaid coz washazulumiwa sana. Sasa ilikuaje ww akakuruhusu umtafune kwanza alaf asubuh ndio mlipane? Aligundua nn kwako?
Haohao wanaojifanya pay first kuna mmoja nilimlipa elf 20 alafu nikamuibia asubuh anatafuta mm namchora tu.
 
Km boss wako ni mtu wa ibada atakushauri siku moja
 

Kwan boss hajui masual ya mapenz, atakuw kachkulia kawaid ila ukikosa nafs tena za trip co mbya [HASHTAG]#ugwadu[/HASHTAG] wako umekponza
 
Mkuu nenda mitaa ya msamvu kwa juu kama unaelekea kihonda kuna hotel inaitwa filomi pemben yake ndio kuna hizo bar na wametega pale coz wanajua mtu kulala hapo hotel yupo vizuri
Naipata vyemaa hiyp flomi hotel
 
Mwanadamu ni kumbe wa ajabu sana,

Na maajabu yake yanazidi pale kila anachokatazwa ndicho MOYO wake unatamani kukifanya.

Toka mdogo umeonywa na wazazi kutoisogelea zinaa,shule walimu wakaonya, kwenye Nyumba za ibada waneonywa kila simu lakini masikioni mmweka pamba,

Ningekuwa boss wako sio kukunyima trip tu hata kukufuta kazi ningekufuta kabisa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakujua umemuibia?
 
Pole Mkuu usirudie tena kulala usiku mzima na Manzi we gonga tu short time hata kumi kwa buku tano tano bila gharama ya vyakula na vinywaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…