Sitakusahau Morogoro Msamvu

Sitakusahau Morogoro Msamvu

U


Ulizozana nini sasa? si ungempa hiyo 30.000? sasa kama 30.000 uliiona ina thaman subiri fedheha? na unalalaje na mtu usiyemjua? hivi nyie wagalatia ni nani aliyawaloga?
Safiiiiiiiiiii wagalatia hawataki ujinga zambi inaendelea kuwatafuna taratibu
 
Mshahara wa dhambi ni mauti.
Sio lazima ufe wewe, chaweza kufanya cheo chako, yaweza kufa KAZI yako.
Mikosi na mabalaa humuingia mtu kwa njia ya zinaa ndio maana vitabu vyote vya imani vimetukataza kuisogelea zinaa.
Ukizini na kahaba unakuwa mwili mmoja na kahaba kama kahaba huyo analiwa tigo basi na wewe unaliwa tigo kwenye ulimwengu usioonekana
Duuh.....kwa maneno haya jamaa asipoacha basi pepo la msamvu halitomtoka.
 
Hata mi nimeshangaa kweli kweli analeta bei za Moshi town Msamvu unapiga hata kwa 5000 eti.
Mkuu nenda mitaa ya msamvu kwa juu kama unaelekea kihonda kuna hotel inaitwa filomi pemben yake ndio kuna hizo bar na wametega pale coz wanajua mtu kulala hapo hotel yupo vizuri
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
Yaani bwana mdogo unapost uongo? Kesho unione ofisini
 
Duh! Mkuu inaonekana ww ni mgeni kwny hayo mambo! Hao malaya wa msamvu mm nlisha kutana nao sana na mara nying wanataka prepaid coz washazulumiwa sana. Sasa ilikuaje ww akakuruhusu umtafune kwanza alaf asubuh ndio mlipane? Aligundua nn kwako?
Haohao wanaojifanya pay first kuna mmoja nilimlipa elf 20 alafu nikamuibia asubuh anatafuta mm namchora tu.
 
Km boss wako ni mtu wa ibada atakushauri siku moja
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.

Kwan boss hajui masual ya mapenz, atakuw kachkulia kawaid ila ukikosa nafs tena za trip co mbya [HASHTAG]#ugwadu[/HASHTAG] wako umekponza
 
Mkuu nenda mitaa ya msamvu kwa juu kama unaelekea kihonda kuna hotel inaitwa filomi pemben yake ndio kuna hizo bar na wametega pale coz wanajua mtu kulala hapo hotel yupo vizuri
Naipata vyemaa hiyp flomi hotel
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
Mwanadamu ni kumbe wa ajabu sana,

Na maajabu yake yanazidi pale kila anachokatazwa ndicho MOYO wake unatamani kukifanya.

Toka mdogo umeonywa na wazazi kutoisogelea zinaa,shule walimu wakaonya, kwenye Nyumba za ibada waneonywa kila simu lakini masikioni mmweka pamba,

Ningekuwa boss wako sio kukunyima trip tu hata kukufuta kazi ningekufuta kabisa.
 
Duh! Mkuu inaonekana ww ni mgeni kwny hayo mambo! Hao malaya wa msamvu mm nlisha kutana nao sana na mara nying wanataka prepaid coz washazulumiwa sana. Sasa ilikuaje ww akakuruhusu umtafune kwanza alaf asubuh ndio mlipane? Aligundua nn kwako?
Haohao wanaojifanya pay first kuna mmoja nilimlipa elf 20 alafu nikamuibia asubuh anatafuta mm namchora tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakujua umemuibia?
 
Pole Mkuu usirudie tena kulala usiku mzima na Manzi we gonga tu short time hata kumi kwa buku tano tano bila gharama ya vyakula na vinywaji
 
Back
Top Bottom