Sitakusahau Morogoro Msamvu

Sitakusahau Morogoro Msamvu

Mkuu haya mambo yalimuaibisha
mwenzetu ughaibuni,ila yeye alitaka
kumtapeli yule binti kumbe nchi za watu
umalaya ni halali na wanalipa kodi
polisi walipokuja wakataka kumweka ndani
jamaa ikabidi asaidiwe kiasi kilichopungua.

Kama ulikuwa na fedha kwa nini
uliona 30000/= ni bora kuliko
heshima yako? au ulishakunywa
zote ukabakiza ya kuhonga kumbe
mwenzio kaamua kuongeza dau
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
Yani watu wengine wanafanya jf ni ramli sasa sisi tutajuaje kama boss wako hatakupa tens trip za mikoani
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inapendeza sana
 
usilale na changudoa kamwe labda uwe umelala mchana kutwa na hauna usingizi,na hela utenganishe ukiwa nao
 
Masue 1 ,

Haa haaa haaa haaa, nacheka kama vile ni mazuri uliyoyafanya.

Hakika, ningekuwa Boss wako ningekuwasha vibao viwili vya kibabe mbele zake kisha namlipa huyo manzi wa uzinzi wako halafu safari na trip vingeishia hapo na kukupa nauli urudi head office.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti.
Sio lazima ufe wewe, chaweza kufanya cheo chako, yaweza kufa KAZI yako.
Mikosi na mabalaa humuingia mtu kwa njia ya zinaa ndio maana vitabu vyote vya imani vimetukataza kuisogelea zinaa.
Ukizini na kahaba unakuwa mwili mmoja na kahaba kama kahaba huyo analiwa tigo basi na wewe unaliwa tigo kwenye ulimwengu usioonekana


Bujibuji,

Nimecheka aiseeeeh, hii aya ya mwisho kwenye ulimwengu usiooneka nawe unaliwa 0713.

Duuuuuuh!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu juzi hapa alisema mwanaume akiwa na nyege anakuwa na akili....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ona sasa!
Cc: espy
 
Kulala na changu mpaka asubuhi kunahitaji ujasiri mnooo..
Unataka kuvumbua nn.. Piga kimoja aondoke..
RAIA MNA roho ngum sana
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
Yamkin bosi kakuelewa vzur
 
Back
Top Bottom