Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Bro unaweza tu kuandika kwa lugha rahisi kabisa, kwamba "changamoto ya kiujumbe husika au kukosa mantiki" labda kusema inayokosa mtiririko unaoutaka wewe sasa... sio kukariri neno hilo hilo kila post. We are tired of you..Hapana.
Ina maana Watanzania wengi wanafanya hiyo logical fallacy na kuirudiarudia.
Ningeona una hoja muhimu sana kama ungeuliza non sequitur ni nini na kwa nini niliyemjibu amefanya non sequitur.
Lakini huna hata akili ya kuuliza hivyo.
You are an incurious country bumpkin.
Gadrmn