Pre GE2025 Sitamani kumuona Nchimbi akiwa Rais

Pre GE2025 Sitamani kumuona Nchimbi akiwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu, heshima kwenu!

Moja kwa moja kwenye mada.
Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli.
Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo.

Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere. Magufuli did the best, alijitoa kwa mwili na roho. Alichopungukiwa ni kutojua namna ya kuishi na mabepari, akawa mjamaa kupitiliza.

Nchi yetu sasa inahitaji Rais aina ya Magufuli, mzalendo wa kweli na jasiri. Mjamaa lakini mwenye kujua namna ya kuishi na mabepari.

Tunao watu wengi, ambao hata wakiongea unausikia uzalendo ndani ya sauti zao.

Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.

Natamani baada ya Samia anayefuata atoke team uzalendo na sio zile team.... sijui team Lowasa nk. Mambo ya Mwitongo tuyaweke pembeni kwanza.

Nchi yangu Tanzania, nakupenda kwa moto wote!
So what?
 
Wakuu, heshima kwenu!

Moja kwa moja kwenye mada.
Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli.
Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo.

Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere. Magufuli did the best, alijitoa kwa mwili na roho. Alichopungukiwa ni kutojua namna ya kuishi na mabepari, akawa mjamaa kupitiliza.

Nchi yetu sasa inahitaji Rais aina ya Magufuli, mzalendo wa kweli na jasiri. Mjamaa lakini mwenye kujua namna ya kuishi na mabepari.

Tunao watu wengi, ambao hata wakiongea unausikia uzalendo ndani ya sauti zao.

Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.

Natamani baada ya Samia anayefuata atoke team uzalendo na sio zile team.... sijui team Lowasa nk. Mambo ya Mwitongo tuyaweke pembeni kwanza.

Nchi yangu Tanzania, nakupenda kwa moto wote!
Ukweli mtupu
 
Wakuu, heshima kwenu!

Moja kwa moja kwenye mada.
Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli.
Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo.

Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere. Magufuli did the best, alijitoa kwa mwili na roho. Alichopungukiwa ni kutojua namna ya kuishi na mabepari, akawa mjamaa kupitiliza.

Nchi yetu sasa inahitaji Rais aina ya Magufuli, mzalendo wa kweli na jasiri. Mjamaa lakini mwenye kujua namna ya kuishi na mabepari.

Tunao watu wengi, ambao hata wakiongea unausikia uzalendo ndani ya sauti zao.

Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.

Natamani baada ya Samia anayefuata atoke team uzalendo na sio zile team.... sijui team Lowasa nk. Mambo ya Mwitongo tuyaweke pembeni kwanza.

Nchi yangu Tanzania, nakupenda kwa moto wote!
Jiandae kisaikolojia, don't commit suicide when reality hits your face
 
🐼

Gaza inachukuliwa na Trump kimangungu
Halafu mnatwambia mambo ya demokrasia....na mambo ya UN charter!!! Mtu anatangaza naichukua Panama canal, anaichukia Greenland, anaichukia Canada na Sasa Gaza...!UN ipo kimya!! Kuna kitu hapo..?
 
Wakuu, heshima kwenu!

Moja kwa moja kwenye mada.
Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli.
Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo.

Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere. Magufuli did the best, alijitoa kwa mwili na roho. Alichopungukiwa ni kutojua namna ya kuishi na mabepari, akawa mjamaa kupitiliza.

Nchi yetu sasa inahitaji Rais aina ya Magufuli, mzalendo wa kweli na jasiri. Mjamaa lakini mwenye kujua namna ya kuishi na mabepari.

Tunao watu wengi, ambao hata wakiongea unausikia uzalendo ndani ya sauti zao.

Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.

Natamani baada ya Samia anayefuata atoke team uzalendo na sio zile team.... sijui team Lowasa nk. Mambo ya Mwitongo tuyaweke pembeni kwanza.

Nchi yangu Tanzania, nakupenda kwa moto wote!
Kitu ambacho sitamani ni kulala usingizi lakini sina ujanja wa kuuzuwia.
 
Halafu mnatwambia mambo ya demokrasia....na mambo ya UN charter!!! Mtu anatangaza naichukua Panama canal, anaichukia Greenland, anaichukia Canada na Sasa Gaza...!UN ipo kimya!! Kuna kitu hapo..?
Mwalimu alishindwa kuichukua Zanzibar 😂
 
Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.
Matatizo ya akili yalikuanza ukiwa mtoto inaonyesha!
Ungetibiwa toka utoto ungepona, anyway Kalale kichwa kipoe!
 
Wakuu, heshima kwenu!

Moja kwa moja kwenye mada.
Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli.
Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo.

Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere. Magufuli did the best, alijitoa kwa mwili na roho. Alichopungukiwa ni kutojua namna ya kuishi na mabepari, akawa mjamaa kupitiliza.

Nchi yetu sasa inahitaji Rais aina ya Magufuli, mzalendo wa kweli na jasiri. Mjamaa lakini mwenye kujua namna ya kuishi na mabepari.

Tunao watu wengi, ambao hata wakiongea unausikia uzalendo ndani ya sauti zao.

Ukiacha ile kufanya kazi kwa maelekezo ambapo hutakiwi kumkatalia wa juu yako zaidi ya kumshauri, nauona uzalendo wa kweli ndani ya Humphrey Polepole, Dk Bashiru, Tundu Lisu lakini pia hata Luhaga Mpina. Hawa ni baadhi ya watu ambao wakiandaliwa vizuri wanaweza kutufikisha.

Natamani baada ya Samia anayefuata atoke team uzalendo na sio zile team.... sijui team Lowasa nk. Mambo ya Mwitongo tuyaweke pembeni kwanza.

Nchi yangu Tanzania, nakupenda kwa moto wote!
Hakuna cha mzalendo wote ni wachumia tumbo
 
Halafu mnatwambia mambo ya demokrasia....na mambo ya UN charter!!! Mtu anatangaza naichukua Panama canal, anaichukia Greenland, anaichukia Canada na Sasa Gaza...!UN ipo kimya!! Kuna kitu hapo..?

Dunia ya tawala za sheria za kujitungia wanaadam haijawahi kuwa na haki.

Kumbuka hilo.
 
Kiongozi wa nchi hadi Mungu aridhie. Asiporidhia hata awe na mabilioni namna gani hapati. Rais wa nchi hii mwaka 2015 alikuwa awe Mhe. Edward Ngoyai Lowasa lakini kuna dhambi alifanya ikam cost! Na Mungu anafahamu kiongozi tunayemhitaji kwa wakati gani. Sisi tumwombe Mungu!
 
Kila nikiangalia naona vijana wengi wenye 30 ndio wanaoweza kuongoza nchi.

Nape,mwigulu,januari,Nyalandu hawa wote hawana vigezo vyangu.

Tuliombee Taifa letu.
Ukombozi unakaribia.
 
Back
Top Bottom