Sitamsahau huyu dada


normal reaction kutaka akili ifikirie haikua tatizo lake kuwa ana maumbile madogo bali kosa ni la mwenzake kuwa ana maumbile makubwa…..hii topic nilisema nitaiacha...lol
 
Pole sana...

Inawezakana yeye siyo bwawa kama unavyosema, ila tu wewe una nanilii ndogo...


Cc: mahondaw
 

si kweli matoy yanaanzia inch 9-16

halafu hio biashara ya matoy haijashamiri huku kwetu...

unategemea dada wa Mwanza awe na litoy??kalitoa wapi???

kama ni masturbation karibu kila mtu anafanya,uswahilini au uzunguni...tena wengine nasikia wanatumia Tango...lol

wewe mshauri kaka yako atafute wa size yake..
 
Thanks.... Ila sidhani kama nimekosea maana hapa hizi mada zinajadiliwa sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe umeelezea hiyo story ili kuonesha udhaifu wa huyo dada ila badala yake umeonesha udhaifu na kasoro zako wewe mwenyewe [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…