Sitamsamehe huyu mtoto wa mjomba wangu

[emoji23][emoji23]embe boribo,madafh,pepeta,mchunga huu ni uzaramo og,hapo umesahau embe ngwangwa na embe sindano bila kusahau mabungo
Na togwa la chupa ..limefunikwa na mfuniko wa ratasi,,,[emoji1][emoji1]
 
Huwa nashangaa hawa matapeli wa wa ile michezo ya kula na kuliwa hadi leo eti wana watu wanawatapeli mijini...Kumbe ndo sample ya watu wanaoweza kuamini stori kama hii
Mkuu kama una ndugu masaki ..kawatembelee ..tafadhali.
 
Sijui nacheka nini ila nacheka tuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pole sana mkuu
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…