Sitamsamehe huyu mtoto wa mjomba wangu

Sitamsamehe huyu mtoto wa mjomba wangu

Kwa maendeleo ya taifa letu. Naomba na me nichangie vitafunwa ili tunywe hii chai
JamiiForums-1727762213.jpg
 
Tukio hili limetokea leo ..ilikua ni majira ya saa sita nimetoka kwetu mkuranga .nimekuja kumsalimia mtoto wa dada yangu hapa masaki.
Ajabu nilipo fika tu katoto kake ka miaka saba kalinijia mbio na kunipora kapu langu nililobeba dagaa na vipande vya nguru kama zawad kwao.
Baada ya kufungua tu akaamuliza mama yake eti hivi ni vinini?? Mbona vinanuka sana alipijibiwa kuwa ni nguru na papa ...basi aka libutua kapu langu ..puuh .duh
Mama yake akamkemea na kumwa mbia kwa kidhungu noo briyaan this is bad..
Omba msamaha kwa uncle ..duh bas kakaja kuniomba msamaha ..na mm nikajifanya namkumbutia kimahaba ..he kumbe alikua na chupa ya pepsi alikua anakunywa .ile namuinamia tu akanibutua nayo ya mdomo kwenye taya paah ..hamad..nilianguka na kupoteza faham ..sikujua nilizimia kwa dakika ngapi ila
Ile nazinduka tu, nikakaona kako pembeni yangu ...kana angalia katun..bas si nikeenda kuchukua rimot ili nibadilishe chanel haa ile nainama tu kushika rimot nikasikia kitu paah mgongon ..kumbe ni mkia wa taa sijui kaupata wapi .akanirapua nao paaa... ooh nilipiga ukekele ...huo!! .had mama yake akaja ..akanikuta nagara gara chini..huku nikilia kwa uchungu. Mama yake akamwita mwane kwa hasira brayan "umefanya nn sasa ..." Huyu ni anko wako ..haya nenda kachukue pip ule na moja umpe anko...wako..
Masiki kale katot kakaenda kuleta pipi ndo nipo naramba ramba hapa na kumumunya ila ..sitamsamehe hata akikua. Ushauri tuwafunze watoto wetu heshima ..jamani dah
hahaha chai ya rang alfu umezidisha sukari
 
Leo siku ya iddi na me nisikose cha kuchangia. Ngoja nichangie vitafunwa
IMG-20220616-WA0000_1.jpg
 
Sasa si ndio niliamini hivyo ndo vitu wanavimiss sana..kapu lilikua na
Dagaa, embe boribo. madafu. Pamoja na vitumbua, matembele na Mchunga ..bila kusahau pepeta
Hapo umesahau bwimbwi, uwanga,korosho,m-bao (ming'oko),kinokera,embe sindano,kambale,siki,nyanya tunguja,unga wa muhogo na nazi kavu😂😂
Haya maisha wakina junior hawajui.

Au sio waukae!
 
Tukio hili limetokea leo ..ilikua ni majira ya saa sita nimetoka kwetu mkuranga .nimekuja kumsalimia mtoto wa dada yangu hapa masaki.
Ajabu nilipo fika tu katoto kake ka miaka saba kalinijia mbio na kunipora kapu langu nililobeba dagaa na vipande vya nguru kama zawad kwao.
Baada ya kufungua tu akaamuliza mama yake eti hivi ni vinini?? Mbona vinanuka sana alipijibiwa kuwa ni nguru na papa ...basi aka libutua kapu langu ..puuh .duh
Mama yake akamkemea na kumwa mbia kwa kidhungu noo briyaan this is bad..
Omba msamaha kwa uncle ..duh bas kakaja kuniomba msamaha ..na mm nikajifanya namkumbutia kimahaba ..he kumbe alikua na chupa ya pepsi alikua anakunywa .ile namuinamia tu akanibutua nayo ya mdomo kwenye taya paah ..hamad..nilianguka na kupoteza faham ..sikujua nilizimia kwa dakika ngapi ila
Ile nazinduka tu, nikakaona kako pembeni yangu ...kana angalia katun..bas si nikeenda kuchukua rimot ili nibadilishe chanel haa ile nainama tu kushika rimot nikasikia kitu paah mgongon ..kumbe ni mkia wa taa sijui kaupata wapi .akanirapua nao paaa... ooh nilipiga ukekele ...huo!! .had mama yake akaja ..akanikuta nagara gara chini..huku nikilia kwa uchungu. Mama yake akamwita mwane kwa hasira brayan "umefanya nn sasa ..." Huyu ni anko wako ..haya nenda kachukue pip ule na moja umpe anko...wako..
Masiki kale katot kakaenda kuleta pipi ndo nipo naramba ramba hapa na kumumunya ila ..sitamsamehe hata akikua. Ushauri tuwafunze watoto wetu heshima ..jamani dah
Chai
 
Duh JF imejaa wahuni kweli kweli [emoji16][emoji16][emoji16]
Bora tumeanzisha JF nyingine huku tutakuwa tunakuja kuchungulia tu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Umetuonaje we jamaa [emoji3][emoji3]
 
Ningekuwa mimi huyo dogo angebabuka shavu kwa mvuke tu wa kofi langu kabla halijatua sehemu husika.
Ila mkuu hii ni comedy scene safi kabisa kama unajua kuigiza ukiamua kutengeneza kafilm kadogo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom