Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

[emoji23][emoji23] Mungu tu akuchukue mapema uwahi kupumzika kwa amani sio kupata mateso haya ya kiakili
 
aliekaribu nae..ampeleke hospital..mana kuna siku atafanya mambo makubwa zaid ya kuandka mitandaon
 
Ndugu wa karibu wa uyu bwana wana dhambi,wanamuona mwenzao anapoelekea sipo ila hawampi msaada.
Mods pia wanahusika juu ya ili...wa note hz tarehe za dishi lake linapoyumbaga (warejee posts zake za uchizi kama hz) na wamsaidie kwa BAN matata kila tarehe hzo (walizozi'note) ili wampungumzie kiasi kidogo cha maumivu maana dishi linapochezaga vyuma kwa vyuma huwa vinasagana kidogo.

Mwisho,na sisi pia tuandae harambee ya kumsaidia mwenzetu. Kumkamata kinguvu na pesa za usafiri toka uko kwao Mwanza to Dodoma katika ile hosptal ya watu kama hawa wenyewe kupoteza channels hasa kipindi iki cha mvua na upepo mkali.


Nawasilisha
 

Siku hizi kila nikiona uzi wako nafurahi bila kufungua ndani.... Keep it up.... Nahisi mkulu kama anapitia huku atakuwa anafurahi sana na soon atakutaja katika reference zake....
 
Huyu jamaa toka aende ccm cjui kawaje
 
Mwenye picha ya huyu Kisandu walau nimjue kwa sura. Maana kuna kipindi nilisikia alitaka kugombea urais.
 
kisandu unamatatizo ya kisaikolojia kamanda
 
Hahahaa!hv jaman hyuy mtu umri wake unasemake maana naona vitu vye vingi anavoandika kama haviendani na umri wake
Na ndio ujue huyo ni Mwl wa secondary! Pole kwa wanafunzi wake!
 
Usikubali mkuu, kwanini ulazimishwe?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
duh! huyu jamaa anatafuta kiki harmorapa haoni ndani
 
There is a problem somewhere ,,,,, i can sense it
 
Hospital unaenda lini Mkuu!? Acha kuwakwepa madaktari ili wakupe msaada haraka.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…