Futuristic 73
Member
- Aug 21, 2016
- 30
- 40
[emoji23][emoji23] Mungu tu akuchukue mapema uwahi kupumzika kwa amani sio kupata mateso haya ya kiakiliWatu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.