Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Kichwani kuna mgao wa umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa dah kwel watu mmeshawapeleka milembe hosp [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu jamaa apewe haloperidol inaweza kumsaidia
Kuhusu Afya yangu Deogratius KisanduUna tatizo la Psychiatric mkuu, jaribu kumuona GP
Kuhusu Afya yangu Deogratius KisanduMwezi mchanga. Mkuu sikuwa nakufahamu before ila kwa thread zako nlizoziona karibun ni wazi kuwa unaweza ukawa na Depression,
Kama sio kik mkuu tafadhali tafuta washauri wa kiafya
Ha ha haHuyu jamaa apewe haloperidol inaweza kumsaidia
Huyo kwenye avator ndo yeye huwa hajificha ni Verified user....hana jina la Bandia mkuuMwenye picha ya huyu Kisandu walau nimjue kwa sura. Maana kuna kipindi nilisikia alitaka kugombea urais.
kaweka ingine! yan leo burudani mnoo mnoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka hadi kichwa kimeniuma!
Huyu jamaa cjui huwa yuko serious,anapokua anaandik mabandiko yake!?? Au huwa anatuchora tu tunavomjibu,,Mwezi mchanga. Mkuu sikuwa nakufahamu before ila kwa thread zako nlizoziona karibun ni wazi kuwa unaweza ukawa na Depression,
Kama sio kik mkuu tafadhali tafuta washauri wa kiafya
mkuu hiyo gari kwenye picha naipata vipi? na mi najuaga kuziendeshaCHIKIRA MTABARI hebu zungusha dishi huko lishaachia tena huku chanel hazisomi tena
Hahahaaaaaa hebu ngoja nikaicheki dear.kaweka ingine! yan leo burudani mnoo mnoo