Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukuma wa Magu huyo kwayo usishangae....n kati ya magonjwa ya wasukuma hayo wakifiaga miaka fulani na mifano hai anaonesha mkulukabila gani kweli wewe?
Hivi kuna Waziri ambaye ni single hadi mawazo kama haya yajakuingia kichwani na hata kama Wapo hivi kweli hawajavutwa sketi zao wakusubirie mnato kama wewe?
Labda Ummy,maana mtoto sihaba yule,basi tu ndo tushachelewa mi na mwanangu Deohii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijaji
Sasa sijui deo anamtaja nani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bashite bwana, amefikia hatua ya kulazimisha watu waoe mawaziri?
Pitia threads zake utapata majibu maridhawa.Samahani wakuu hivi huyu jamaa ni mzima kiakili?
Wanasema ni mwalimu eti daaah sijui shule gani imempokeaBrother Deooooo
Kuna kipindi niliona uzi wako unazungumzia kumuoa mtoto wa Barack Obama[emoji23] [emoji23]
Sio kwamba nakudharau ila duuuh ndoto zako brother sijui mwenzetu unalalaga wapi maana ndoto zako zimekaa kipekee[emoji23] [emoji23]
Kama sikosei anafundisha shule moja ya serikali iko Mwanza ila siikumbuki jinaWanasema ni mwalimu eti daaah sijui shule gani imempokea