Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

hii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijaji

Sasa sijui deo anamtaja nani
Labda Ummy,maana mtoto sihaba yule,basi tu ndo tushachelewa mi na mwanangu Deo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini wee dah!

Mi mwenyewe sitaki kuolewa na waziri mkuu, mawaziri wengi na mabalozo wanajipendekeza ila hapana , puuzieni rumors [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee kweli deo ni mgonjwa' hakuna ndugu wakaribu humu asaidiwe huyu
 
On a serious note, Deo najua umeshindwa kutuheshimu sisi wana jamii forum, sawa tumekubali!!

Ila mkuu jaribu basi hata kuwafikiria wale wananchi 1934 wa jimbo la lushoto walioamka asubuhi mwaka 2010 licha ya mvua kubwa kunyesha na kwenda kukupigia kura uwakilishe mawazo yao bungeni
_20170420_200853.jpg
 
Brother Deooooo
Kuna kipindi niliona uzi wako unazungumzia kumuoa mtoto wa Barack Obama[emoji23] [emoji23]
Sio kwamba nakudharau ila duuuh ndoto zako brother sijui mwenzetu unalalaga wapi maana ndoto zako zimekaa kipekee[emoji23] [emoji23]
 
Brother Deooooo
Kuna kipindi niliona uzi wako unazungumzia kumuoa mtoto wa Barack Obama[emoji23] [emoji23]
Sio kwamba nakudharau ila duuuh ndoto zako brother sijui mwenzetu unalalaga wapi maana ndoto zako zimekaa kipekee[emoji23] [emoji23]
Wanasema ni mwalimu eti daaah sijui shule gani imempokea
 
Wasikupangie bhana,we mtu mzima una maamuzi binafsi sio hadi mapenzi wakupangie.RIP [HASHTAG]#kisandu[/HASHTAG]
 
Wanasema ni mwalimu eti daaah sijui shule gani imempokea
Kama sikosei anafundisha shule moja ya serikali iko Mwanza ila siikumbuki jina
Sijui ni kati ya hizi Mkolani sec, Kitangiri sec, Mwanza etc
 
Back
Top Bottom