Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Huyu anajua kiswahili vizuri tuWacha kutuchezea wewe bwege..Kiswahili unakijua lakini unafanya mzaha,mbona sehemu zengine umeandika gari kwa usahihi halafi kwengine umejifanya mjinga.Kwengine umeandika Mwanza vizuri kwengine unajifanya bwege.Wacha kutafuta umaarufu wakijinga humu.Kuna mambo mengi yakujadili nakujifunza kuliko ujinga huu.
Eti anajifanya hajui kiswahili vizuri.hahahahahah.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mujomba wa itaria amemufanyaje mubona hahereweki
Jf bana
hahaa ..Mujomba arisema akija muakani tutaeda Gorogoro.
hivi ni nini kutufanyia kusudi wewe bwana pembe za panzi????Sikatayi kuwa lafiki wa mutu kira mutu ni lafiki yagu.
Mimi mwenyewe nahisi hivyo,hata jana niliandika comment "pembe za panzi ni GuDume ila ameamua kuja kivingine"Haaaaa huyu jamaa nahisi ni Gudume
NakaziaWacha kutuchezea wewe bwege..Kiswahili unakijua lakini unafanya mzaha,mbona sehemu zengine umeandika gari kwa usahihi halafi kwengine umejifanya mjinga.Kwengine umeandika Mwanza vizuri kwengine unajifanya bwege.Wacha kutafuta umaarufu wakijinga humu.Kuna mambo mengi yakujadili nakujifunza kuliko ujinga huu.
Nasikia nyuzi zake zote ziko hiviEti anajifanya hajui kiswahili vizuri.hahahahahah.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaa ..
goro nini !!? ... Mkuu kwani ni lazima mpaka na wewe uwe member wa Jf .. maana hii broken swahili sio ya nchi hii