Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Kipndi nipo mudogo miyaka kama kumi na 16 arikuja mujomba wangu kutoka Itaria na kutupereka bugani kuwona wanyama nakuumbuka irikuwa muaka 2012 turipanda gari kutoka kijijini adi mwanza na kesho yake tukaeda kupanda magali ya kuwenda seregeti. Jiwoni tukafika mugumu na mujomba wagu mimi na mama pamoja na watoto wake aliyotoka toka nawo itaria. tulilala otelini hadi kesho tukachukua magali ya watali na kuaza kutembea kuwona wanyama hakika wale wanyama warikuwa wanavutia sana mujomba arisema kure itaria hakuna wanyama kama ware. Baadaye turiludi tena hadi muanza na kuerekea nyumbani.
ongela zana kwa safali na mujoba ako seregeti akiludi mambie asalimu dugu sake wa itaria.
 
We Makoye ile bangi niliyokuuzia ukasema unaenda kuwapa Mbwa kumbe umekula wewe? Umeona hasara za uongo? Ona sasa unavyonitia aibu humu, wanajamvi naomba msamaha kwa niaba ya ndugu yangu huyu,
 
Ooh kwa mantiki hiyo unachanganya kihindi,kiswahili na kisukuma ndio inapatikana lugha yako mkuu?
Mimi kabira rangu ni musukuma hila nimewai kuhishi gairo hila kwa sasa nipo zega tabola nafanya kazi kwnye nduka ya muindi.?
 
Back
Top Bottom