witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
HaahaaMkuu witnessj:wahindi ndio zao cku mkikosana utackia mimi patia ww Guo [emoji28][emoji28] alafu izo Guo ukiziona hta jalalani hazifai kutupwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaahaaMkuu witnessj:wahindi ndio zao cku mkikosana utackia mimi patia ww Guo [emoji28][emoji28] alafu izo Guo ukiziona hta jalalani hazifai kutupwa
Haaaa jamaa atakuwa member wa kitambo humu ila ameamua kuja na a/c mpyaa na swaga mpyaaaWe jamaa una fix sana....we umejiunga jana hayo yote umeyasikia wapi?
Anazingua banaHaaaa jamaa atakuwa member wa kitambo humu ila ameamua kuja na a/c mpyaa na swaga mpyaaa
ongela zana kwa safali na mujoba ako seregeti akiludi mambie asalimu dugu sake wa itaria.Kipndi nipo mudogo miyaka kama kumi na 16 arikuja mujomba wangu kutoka Itaria na kutupereka bugani kuwona wanyama nakuumbuka irikuwa muaka 2012 turipanda gari kutoka kijijini adi mwanza na kesho yake tukaeda kupanda magali ya kuwenda seregeti. Jiwoni tukafika mugumu na mujomba wagu mimi na mama pamoja na watoto wake aliyotoka toka nawo itaria. tulilala otelini hadi kesho tukachukua magali ya watali na kuaza kutembea kuwona wanyama hakika wale wanyama warikuwa wanavutia sana mujomba arisema kure itaria hakuna wanyama kama ware. Baadaye turiludi tena hadi muanza na kuerekea nyumbani.
Mimi kabira rangu ni musukuma hila nimewai kuhishi gairo hila kwa sasa nipo zega tabola nafanya kazi kwnye nduka ya muindi.?
Ngoja ni cheki network yake!Itaria anatoka muaka 2022 akisitaafu
Mimi siyo me wara ke jina lagu rinahanza na s
Jinsia gani.!?Sijaereewa kaka yagu
wabeja! kinelolo.Mimi ni wakihume