Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Huyu jamaa bhana anazingua, hio article ameandika kindezi makusudi tu ili watu tucheke! Mtu alioishia la pili hawezi kuwa mjanja kujua hadi kujisajili na kuja kupost humu! Ni ngumu
 
Mimi kabira rangu ni musukuma hila nimewai kuhishi gairo hila kwa sasa nipo zega tabola nafanya kazi kwnye nduka ya muindi.?
 
Niripojisajiri lafiki yagu arinierekeza namuna ya kuwandika mahada na kujibu.
 
Basi kajiandikishe upate elimu bure ya Magufuli.
 
Mudongo wangu kahenda itaria mwenzi iriyopita mujomba kamuchukuwa akasomee mabo ya mawasiliyano.
 
Mimi kabira rangu ni musukuma hila nimewai kuhishi gairo hila kwa sasa nipo zega tabola nafanya kazi kwnye nduka ya muindi.?
Wahindi wamekuaribu mkuu naona wamekulisha sana kothmir🤣🤣 na Guo za kupewa pembe ya panzi chukua Guo
 
Siwezi kukuambiya niko wapi mahana nasikiya humu siyo sarama sana kutowa namba au kusema uripo.
 
Niripotegenenzaa akauti niriambiwa na lafiki yagu nisiseme niripo ni atari kwangu.
 
Sikuwanhi kufukuzwa na muindi nafanya nawo kazi nzwuri.
 
Back
Top Bottom