Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Wacha kutuchezea wewe bwege..Kiswahili unakijua lakini unafanya mzaha,mbona sehemu zengine umeandika gari kwa usahihi halafi kwengine umejifanya mjinga.Kwengine umeandika Mwanza vizuri kwengine unajifanya bwege.Wacha kutafuta umaarufu wakijinga humu.Kuna mambo mengi yakujadili nakujifunza kuliko ujinga huu.
Huyu anajua kiswahili vizuri tu
 
Wacha kutuchezea wewe bwege..Kiswahili unakijua lakini unafanya mzaha,mbona sehemu zengine umeandika gari kwa usahihi halafi kwengine umejifanya mjinga.Kwengine umeandika Mwanza vizuri kwengine unajifanya bwege.Wacha kutafuta umaarufu wakijinga humu.Kuna mambo mengi yakujadili nakujifunza kuliko ujinga huu.
Nakazia
 
hahahaa....
najuta kwanini nlkua naupotezea huu uzi
ninaeinjoyi kwer kweri jeiefu tamu sanda
 
Nirikua sina umeme kwenye simu yagu wakati najiunga lafiki yagu haliniambia nintumie hili jina ra pembe za panzi yeye ndie arinisajiria na kuniwekea pincha na reo amenibadirishia. Arisema umu unatakiwa huweke pincha ya watu wa zaman hiri uhonekane musomi?
 
Pembe za panzi avatar ya mr bean ndio ilikuwa inasadifu na style yako hii ulokuja nayo ila Avatar ya sasahivi ina usiriasi fulani rudisha ileile mkuu
 
Back
Top Bottom