Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi


Likowapi hiro duara tuliendeleze?

Nina uzoefu sana na haya mambo.
 
Wewe ndio kidume inatakiwa hivyo, mkuu na mimi nakusanya pia vifaa nipe mrejesho ntakua jirani yako, wapi ulipo?
 

Inakuaje mnawaamini waganga wanaoongea uongo mkavu kiasi hiki?
 
Pole chief.
Hii biashara kwa hapa nilipo 99% inafanyika kwa ushirikina.
Ili upate ni lzm uwatumikie wakuu wa giza
Hata wachungaji wa makanisa ni washiriki wazuri tuu.
Matajiri wenye migodi yao mikubwa wanafanya kwa siri sana japo kuwa wana vifaa vya kisasa.

Hawa wenzetu weupe (wachina wazungu) sijui wanafanyaje ila kafara kwao ni kugusa tuu
 
Huo ukware ndio kitu gani? Unapigwaje? Ni kutafutia mahawara watu au? Hebu elezea vizuri kidogo Mkuu.
Ni eneo mawe yanaporundikwa kutoka chini...mawe yanatoka huko chini yakifika juu yanamwaga...mawe yakishauzwa pale chini kunakua na vumbi la dhahabu..so wamama wanakuwa wanatembea na vidude Kama spatula ..wanakwagua had udongo...wakienda kuosha wanapata dhahabu..ukijidamka mapema au ukiwa sharp na eneo ulipo kukawa na mzigo .mzuri wanaodoka had na gram moja!
Lakini ni kazi ngumu Sana...kisukuma kwingi...maana inakupasa kuwa mtata pia upate eneo ukwangue...wenye maduara wanaweza kuniambia uwape buku 2 au 5 ukwangue. So ukilipia atleast inakuwa Bora unakwangua kwa Uhuru..
Ukware mwingine ni eneo la mwaloni kwako....Kwasababu unasaga hapo na kuosha lazima Kuna vidhahabu vitakuwa vinadondoka...so ukishamaliza kazi kbs hapo mwaloni kwako namansha unataka kuuza kifusi unauza hiyo place yako wanakuba wajuzi wanakwanguaaaaaa....yaan ukiangalia ni mchanga tu lakini una dhahabu..km ulikua unanunua mawe mazuri hukosi 300k!
 
Mkuu unapokuwa na shida hata ukiambiwa m***i Ni dawa sharti utumie
Ajabu mnaendaga kwa waganga na hakuna mafanikio..dah..mie sitaki a chanjwa Michale kisa mganga kasema nikichwanjwa nitazifumnia dhahabu...arghh...99%watu wa migodini Wana chale balaa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿคธ!Imani hizi
 
Wangari Nina laki 5 hapa nipe dili ndogo nijilipue pande hizo kwa kadri ya huo mtaji.
 
Ajabu mnaendaga kwa waganga na hakuna mafanikio..dah..mie sitaki a chanjwa Michale kisa mganga kasema nikichwanjwa nitazifumnia dhahabu...arghh...99%watu wa migodini Wana chale balaa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿคธ!Imani hizi
Kwenye uchimbaji sio lazima chale.
Chale Ni kwa ajili ya kuingiziwa dawa mwilini dawa za kujiponya, kujilinda, bahati,nk.
Ila migodini ni kusafisha duara na kuvuta bahati na kafara za vikuku. Hizi mnzfanyia duarani sio mwilini
 
Wangari Nina laki 5 hapa nipe dili ndogo nijilipue pande hizo kwa kadri ya huo mtaji.
Kafanye m-pesa wakati unajimix na watu kujua abc!
Wewe nakuonaga uko vzr kichwani...nenda kajichanganye na matajiri wanaonunua vifusi ..ujue wanafanyeje...ukirud mjini tafuta 10m uanze nunua vifusi vile vidogo dogo walau ujaze Tanki 5!ulinunua kifusi tuseme vifusi vi4 kwa watu tofauti unatumia 10m hukosi 5m as faida...!yaan Juana na wenye plant na mafekechee Kama hayo usiwe unakaa folen...!
 
Kwenye uchimbaji sio lazima chale.
Chale Ni kwa ajili ya kuingiziwa dawa mwilini dawa za kujiponya, kujilinda, bahati,nk.
Ila migodini ni kusafisha duara na kuvuta bahati na kafara za vikuku. Hizi mnzfanyia duarani sio mwilini
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Na maudi yenu๐Ÿ˜€๐Ÿคธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ