Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Ukitoa mpesa Kuna issue nyingine ipi ya kumake hela maana wengine huwa hatuchagui kazi.Kafanye m-pesa wakati unajimix na watu kujua abc!
Wewe nakuonaga uko vzr kichwani...nenda kajichanganye na matajiri wanaonunua vifusi ..ujue wanafanyeje...ukirud mjini tafuta 10m uanze nunua vifusi vile vidogo dogo walau ujaze Tanki 5!ulinunua kifusi tuseme vifusi vi4 kwa watu tofauti unatumia 10m hukosi 5m as faida...!yaan Juana na wenye plant na mafekechee Kama hayo usiwe unakaa folen...!
Kafanye m-pesa wakati unajimix na watu kujua abc!
Wewe nakuonaga uko vzr kichwani...nenda kajichanganye na matajiri wanaonunua vifusi ..ujue wanafanyeje...ukirud mjini tafuta 10m uanze nunua vifusi vile vidogo dogo walau ujaze Tanki 5!ulinunua kifusi tuseme vifusi vi4 kwa watu tofauti unatumia 10m hukosi 5m as faida...!yaan Juana na wenye plant na mafekechee Kama hayo usiwe unakaa folen...!
Best Kuna mambo mengi mengi tu..hata hizi pool zinalipa...nenda kwanza migodini..nenda segese Kama uko siriaZUkitoa mpesa Kuna issue nyingine ipi ya kumake hela maana wengine huwa hatuchagui kazi.
Hiyo ya vifusi nadhan iwe mbeleni
Dogo .nimemwambia anzze mpesa.lakini akiwa anaangalia mchezo wankununua vifusi...hujambo kwanzaJamaa yupo na 500k wewe unampa dili la 10m, itabidi umkopeshe tu!
Dogo .nimemwambia anzze mpesa.lakini akiwa anaangalia mchezo wankununua vifusi...hujambo kwanza
😀😀! Nahis una hangover haya boss wangiSijambo, mi nimemwombea mkopo... ila aanzie chini kwanza ili ujiridhishe na uchapakazi wake.
[emoji3][emoji3]! Nahis una hangover haya boss wangi
Segese ndio wapi ?Dogo .nimemwambia anzze mpesa.lakini akiwa anaangalia mchezo wankununua vifusi...hujambo kwanza
Kahama huko..Segese ndio wapi ?
Sijawahi na sitawahi dhamini duara mimi!anachoongea ni kweli tupu!acha tujikimbizie vifusi na kununua vifusi kina sie!
Mimi sio kupunguza tu aisee!nimerelax mnoo!ntafia huku tu!
Ingawa changamoto ni mob!
[emoji41][emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu kwanza nikupe Hongera kwa kuthubutu....
Coz siku zote wanaojaribu na kufanya ndo Wanaofanikiwa.... Kama huwezi kujaribu na kupoteza huwezi kufanikiwa....
Hata hao unaowasema kuwa Wananunua Magari kama Ndala, wamepitia changamoto nyingi na kupoteza sana....
Kama kuna Watu waongo basi ni Wachimbaji wa Madini..... Wanaweza kukutia Moyo kwa kitu ambacho hakipo.... Wakikupigia hesabu wanakwambia hapa Mizamo 3 tumeufikia Mwamba tunaanza kuzarisha.... Wanapokupigia hesabu za kudhamini duara hawakupi hesabu kamili, wanakukadiria hesabu Ndogo tu ya Chakula na Vitendea kazi vichache wastani wa 200,000 ambapo utaona ni ndogo na unaweza kumudu..... Baadaye mkishaanza ndo wanaleta hesabu za vitu vingine.....
Ushauri wangu kwako usiache, Ungewaacha wenyewe waende kwa Waganga n.k ila Wewe ungefanya kazi kitaalam.... Mfano mlipoufikia Mwamba ungepeleka Sample Maabara, ingesoma Kiwango cha Dhahabu kilichomo, then baada ya kuchimba Mita kadhaa ungechukua tena sample Maabara ingekupa majibu kuwa kadri unavyokwenda kiwango cha Dhahabu kinaongezeka ama vipi!?
Kuna sehemu unasema jamaa walipiga chabo ikasoma Dhahabu kidogo na Copper nyingi means ukienda chini zaidi Copper itaanza kupungua na Dhahabu kuongezeka!
Omba Ushauri kwa Wazoefu pia unaweza kuleta Geologist kwenye Duara lako akakushauri.
All in all Hongera na usiache, kusanya nguvu rudi tena, ila fanya kazi kisasa..
Unabaki kushangaa..kwel watu tumetofautiana sana
Hivyo ndivyo nilivyoweza kupata ujuzi na uzoefu kwenye sekta ya dhahabu, nilianzia Masumbwe Shenda,kwenye migodi ya sesa nikijifanya sina kitu kabisa, nikajifunza miamba ya dhahabu, nikahamia Iramba,jirani na hapo, nikaanza kununua mifuko michache, nikahamia Kanegere, Kakumbi alhamdulilah napata kafaida kwa sasa naijua game vizuri kidogo kwa sasa. Ingawa lengo lilikuwa kuweka garasha tangu awaliKujifunza ukiwa na hela ni mtihani sana unatakiwa uende machimboni ukiwa huna kitu mfukoni labda hela ndogo tu ya kula na ishu ndogondogo ili usiwavutie watu kukupiga kupitia mtaji wako.
Hongera biashara ikikubali utaona 1mil kama 10kHivyo ndivyo nilivyoweza kupata ujuzi na uzoefu kwenye sekta ya dhahabu, nilianzia Masumbwe Shenda,kwenye migodi ya sesa nikijifanya sina kitu kabisa, nikajifunza miamba ya dhahabu, nikahamia Iramba,jirani na hapo, nikaanza kununua mifuko michache, nikahamia Kanegere, Kakumbi alhamdulilah napata kafaida kwa sasa naijua game vizuri kidogo kwa sasa. Ingawa lengo lilikuwa kuweka garasha tangu awali
Hivyo ndivyo nilivyoweza kupata ujuzi na uzoefu kwenye sekta ya dhahabu, nilianzia Masumbwe Shenda,kwenye migodi ya sesa nikijifanya sina kitu kabisa, nikajifunza miamba ya dhahabu, nikahamia Iramba,jirani na hapo, nikaanza kununua mifuko michache, nikahamia Kanegere, Kakumbi alhamdulilah napata kafaida kwa sasa naijua game vizuri kidogo kwa sasa. Ingawa lengo lilikuwa kuweka garasha tangu awali
Kuna siku inagoma inabidi urudi ukajinyooshe kitandani kwanza moyo utulieHongera biashara ikikubali utaona 1mil kama 10k
Hahahaha umenikumbusha kanegere..dah..niliweka matestio huko...dahMm nilianza mwaka 2018 pale kanegere kununua dhahabu nikiwa na mtaji kdogo sana
Mkuu Wangari MaathaiHahahaha umenikumbusha kanegere..dah..niliweka matestio huko...dah