Netflix
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 260
- 360
tukutane mduaraniYako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukutane mduaraniYako!
Mkui huyi alianza kufanya biashara kabla ya jamaa hajaleta huo uzi...Kuna mtu aliwahi leta uzi humu kuhusu kukurupuka kufanya biashara kisa umeona flani ametajirika kupitia hiyo biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitanda ni miti inachimbiwa....dogoro lipo la ft 2-3. Shuka zipo ila ni nyepesi.Hivi hizo Gest,zinakua na vitanda,mashuka au inakuaje?
Kitanda ni miti inachimbiwa....dogoro lipo la ft 2-3. Shuka zipo ila ni nyepesi.Hivi hizo Gest,zinakua na vitanda,mashuka au inakuaje?
Kabisa kuna jamaa kachimbisha duara hadi Kauza nyumba...gari....hadi kaachanana mkeIla maisha bwanaaa, unaweza kwama sehemu ktk halakati zako za kuwekeza ukajiona ni ww tu ndyo umefeli, kumbe kuna wengine wamefeli mpk na magonjwa ya pressure wamepata na wengine kufa kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema huhitaji funguo kwenda.Huyo aliyekwambia uende strong room ya GGM ni tapeli wa kuogopwa, mle kuna Camera kibao na funguo zipo 3, hivi wanazani Mzungu siyo mchawi kuibiwa hawezi aisee.
Karasha (crusher) hii inasaga tuu mawe kupata unga laini kama sementi.Naomba unipe expeience ya kuemdesha ile mashine ya kusaga mawe ili kupata dhahabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
HapanaKwani hayo mashimo si mlipima kwa mashine au mlikúwa mna tumia njia gani.
Maana kama ni mitambo si ilikuwa,ina inyesha,kuwa mzigo upo
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitoka salama?Unanikumbusha mbali Sana nilipo mpiga mtu na ponchi ya kichwa pumbavu zake kwa kujifanya mjanja Niko ndani ya duara tuko wawili tu alafu dhahabu anayo Mungu anisamehe Sana haikuwa kusudio langu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ila wachimbaji wadogo hawa afford cost.Experience tunayoshare hapa ni ya wachimbaji wadogo, kwa sababu migodi mikubwa ulinayomilikiwa na makampuni ya wazungu inachimba na kukomba dhahabu yote wanatuachia maandaki.
Kwamba wao wanachimba kisasa, tecknolojia ya kisasa, vifaa vya kisasa, wafanyakazi wenye ujuzi mkubwa.
Sasa kwanini wachimbaji wadogo angalau wachimbe kisasa kidogo kwamba kadri unavyochimba unachukua sample ya udongo au mawe unawapelekea wataalamu/maabara waupime kama kuna dalili zozote za kupata madini.
Nasikia pia unaweza leta mtaalamu akadril shimo mpka umbali wa mita 50 akawa anatoa sample anaangalia kuna dalili ya dhahabu au lah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulichimba kwa style hiyo lkn tukala za usoHizi mambo hazina cha mganga wala sheikh, it's pure science mzee..
Ukichimba 'blindly' lazima ule za uso, kabla ya kuchimba fanya hata preliminary assessment, maduara ya pembeni yamefika? Uko nearby place ya gold vein kupita hapo?
Kila ukichimba mizamo kadhaa lazima uchukue sample kujua grade inaenda aje mzee, otherwise mtu utakula za uso ukisingizia kuna mtu ana nuksi sijui manini nini huko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wapi alibak shimon huko huko jkawa mali ya udongoAlitoka salama?