Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

Kilichokushangaza ni nini? Kwamba unaona kaka yako hajaoa msukule?

Sasa kama anaoa mke ambaye hana nidhamu kwa ndugu zake, na anashindwa kuchukua hatua... basi atakuwa bwege au kaoa msukule
We ropoka Tu utambue kuna ulimwengu WA Roho na ulimwengu WA mwili.
Mungu na shetani ni ulimwengu WA Roho. Ukichezewa kekundu ulimwengu WA Roho either iwe upande wa Mungu or shetani Kwa taarifa yako hutoboi Kwa akili za kimwili endelea kubeza Tu hayajakufika
 
We ropoka Tu utambue kuna ulimwengu WA Roho na ulimwengu WA mwili.
Mungu na shetani ni ulimwengu WA Roho. Ukichezewa kekundu ulimwengu WA Roho either iwe upande wa Mungu or shetani Kwa taarifa yako hutoboi Kwa akili za kimwili endelea kubeza Tu hayajakufika
Vitu vingine mnamsingizia Mungu tu. Yani shemeji yako kalala dume zima unaenda kumpikia, anakula unaosha vyombo wakati yeye kaenda kulala...

Ujinga mwingine bora muwe mnakaa kimya. Mnajichoresha tu...
 
Vitu vingine mnamsingizia Mungu tu. Yani shemeji yako kalala dume zima unaenda kumpikia, anakula unaosha vyombo wakati yeye kaenda kulala...

Ujinga mwingine bora muwe mnakaa kimya. Mnajichoresha tu...
Asante ba
Vitu vingine mnamsingizia Mungu tu. Yani shemeji yako kalala dume zima unaenda kumpikia, anakula unaosha vyombo wakati yeye kaenda kulala...

Ujinga mwingine bora muwe mnakaa kimya. Mnajichoresha tu...
Asante Babu endelea kulea wajukuu Kwa akili hzi hao wajukuu watakuwa mbumbu unashindwa kujua uwenda tulikuwa na umri fulan ambao ukiamrishwa na mkuu WA Kaya huwezi leta ubishi hivi ni kweli hujaona hapo nimesema mama mwenye nyumba alikuwa kashikwa na Yuko upande WA mkwe wake na pale ni nyumbani kwake hivi mtu unaanzaje kugoma mimi nilikuwa kidato cha tatu wakati huo na katika madogo tulipokuwa pale ndiye nilikuwa mkubwa jaribu kupata picha sasa Acha mihemko aisee hayajakufika bro alismulia vile alikuwa anateseka mpk analazwa chini na kufanyishwa kazi na mwanamke kilaza Tu Kula kulala mtu unaweza kumtusi lakini kuna Mambo yanafanywa yanakuwa beyond na akili za kawaida
 
Asante ba

Asante Babu endelea kulea wajukuu Kwa akili hzi hao wajukuu watakuwa mbumbu unashindwa kujua uwenda tulikuwa na umri fulan ambao ukiamrishwa na mkuu WA Kaya huwezi leta ubishi hivi ni kweli hujaona hapo nimesema mama mwenye nyumba alikuwa kashikwa na Yuko upande WA mkwe wake na pale ni nyumbani kwake hivi mtu unaanzaje kugoma mimi nilikuwa kidato cha tatu wakati huo na katika madogo tulipokuwa pale ndiye nilikuwa mkubwa jaribu kupata picha sasa Acha mihemko aisee hayajakufika bro alismulia vile alikuwa anateseka mpk analazwa chini na kufanyishwa kazi na mwanamke kilaza Tu Kula kulala mtu unaweza kumtusi lakini kuna Mambo yanafanywa yanakuwa beyond na akili za kawaida
Haya bhana

Ngoja niwaache muendelee kufarijiana na kupeana moyo...
 
Mi sijasoma vishule vyenu hivi vya siku hizi mnakula chipsi mayai...
Vizuri Ila namshukuru Mungu nimepiga hatua Kwa hzi hizi shule za chips mayai. Maana pengne umekalili shulen mpk mle ugari na maharage yny wadudu na makande mabaya hapo ndo unaona upo shule sasa Ila utambue dunia imebadilika Sana kwasasa na Kwa akili hizi ni mgumu Sana kuendana na mabadiliko ya dunia
 
Vizuri Ila namshukuru Mungu nimepiga hatua Kwa hzi hizi shule za chips mayai. Maana pengne umekalili shulen mpk mle ugari na maharage yny wadudu na makande mabaya hapo ndo unaona upo shule sasa Ila utambue dunia imebadilika Sana kwasasa na Kwa akili hizi ni mgumu Sana kuendana na mabadiliko ya dunia
Pole sana....
 
Sijui ni kwanini hutumii neno mama yako badala yake unamuhuisha na shemeji yako.

Kila mara ni mkwe wake. Mara mama yake bro, mhmhmhmh!....

Au hakuwa kaka yako wa damu?
kamwelezea shemeji yake pamoja na kaka yake ndio maana ametumia hivyo ma mkwe na mama yake bro, angetumia 'mama yangu' tungeona ama anamtetea au amekuja kulia lia JF. Kajua kucheza na hisia + akili za wasomaji. Amejitenga na wahusika kimtindo
 
Ulivyoelezea nimetoka machozi yaani mkasa wa bro wako na mimi tofauti ni kabila la mwanamke,mimi mke wangu alikuwa mpare lakini matukio yote yanafanana,nilimpa talaka kwa kuvizia aliaga anaenda kwa dada yake kusalimia nikampiga red card juu kwa juu,pia alijaribu kumrithisha uchawi binti yetu,si hivyo tu watoto wa kwanza walikuwa mapacha walifariki ktk mazingira tatanishi kumbe mwenzangu katoa kafara ili apate cheo kwny chama chao cha uchawi,yaani ukimwona huyo mwanamke jinsi alivyo na matukio anayofanya unaweza sema anasingiziwa.namuonea huruma sana jamaa furani anaekwenda kumuoa hivi punde.
 
Ulivyoelezea nimetoka machozi yaani mkasa wa bro wako na mimi tofauti ni kabila la mwanamke,mimi mke wangu alikuwa mpare lakini matukio yote yanafanana,nilimpa talaka kwa kuvizia aliaga anaenda kwa dada yake kusalimia nikampiga red card juu kwa juu,pia alijaribu kumrithisha uchawi binti yetu,si hivyo tu watoto wa kwanza walikuwa mapacha walifariki ktk mazingira tatanishi kumbe mwenzangu katoa kafara ili apate cheo kwny chama chao cha uchawi,yaani ukimwona huyo mwanamke jinsi alivyo na matukio anayofanya unaweza sema anasingiziwa.namuonea huruma sana jamaa furani anaekwenda kumuoa hivi punde.

Imebidi nichangie kwsbb nmeona ‘mpare’ wadada wa kipare ni hatari jmn! Km sio mchawi basi mshirikina!
Kakangu mtoto wa shangazi alipelekeshwa sana na ni mahusiano tu! Alikuja tu kushtuka baada ya kukuta vitu vimeandikwa kiaarabu na majina yake ndo aliposhtuka!
 
Ulivyoelezea nimetoka machozi yaani mkasa wa bro wako na mimi tofauti ni kabila la mwanamke,mimi mke wangu alikuwa mpare lakini matukio yote yanafanana,nilimpa talaka kwa kuvizia aliaga anaenda kwa dada yake kusalimia nikampiga red card juu kwa juu,pia alijaribu kumrithisha uchawi binti yetu,si hivyo tu watoto wa kwanza walikuwa mapacha walifariki ktk mazingira tatanishi kumbe mwenzangu katoa kafara ili apate cheo kwny chama chao cha uchawi,yaani ukimwona huyo mwanamke jinsi alivyo na matukio anayofanya unaweza sema anasingiziwa.namuonea huruma sana jamaa furani anaekwenda kumuoa hivi punde.

Aisee pole kaka!
 
We ropoka Tu utambue kuna ulimwengu WA Roho na ulimwengu WA mwili.
Mungu na shetani ni ulimwengu WA Roho. Ukichezewa kekundu ulimwengu WA Roho either iwe upande wa Mungu or shetani Kwa taarifa yako hutoboi Kwa akili za kimwili endelea kubeza Tu hayajakufika

Ambae hayajamfika au yamemfika ila haelewi kwamba anachezewa ni ngumu sana kumuelewesha akaelewa bro!
 
Back
Top Bottom