Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

all in all jaman kuoa mchawi ni shida kwa ndoa na kwa familia pia...mimi mwenyewe mhenga kaka yangu alioa mchawi jamani huyu bi wifi alitutesa balaa, ashukuriwe Mungu ambaye anatulinda bila kujua japo tuna madhambi. Cha kushangaza sijui wachawi hawajielewi au ndo wameamua maisha wanayoishi maana wanaishi maisha magumu mnoo asikuambie mtu. yeye mchawi na kizazi chake chote kinateseka kwa ajili ya uchawi wao. Mimi shangazi zangu wanaishi maisha magumu mno jambo ambalo ni sababu ya mama yao bila kujua.

Na wataendelea kuteseka kama hawatamrudia Mungu na kujitenga na maagano ya mama yao,,,ninachosikitika ni kwamba hadi kaka angu kaingizwa kwenye hizo laana.

NB: Hakuna mchawi alishatoboa kwenye maisha ,,,acha wapambane na nyungo zao.
Sasa mashangazi zako hauwezi kuwaokoa sini damu ya kaka yako hao!? Mbona kama unajifanya halikuhusu?
 
Hiyo saa tisa usiku utamshika mkono kwa namna ipi?mimi nilikuwa nikilala saa 5usiku kuja kushtuk saa11alfajr,mshenzi yule mwanamke nahisi alikuwa ananipiga usingizi wa kichawi.
Hahahahahahah kuanzia sa 6 usiku lazma ugongwe usingizi mzito ukiwahi stuka labda saa 9 wanakuwa washafanya yao😅
 
Mi niliishi nae na nilimgundua wiki ya kwanza tu kuja ghetto, nilikuta kikaratasi ameandika jina langu afu mbele jina lake then jina langu hivyo hivyo karudia kama mistari saba hivi, ila kiukweli kama kuna watu siwaogopi kwa sababu na uhakika hamna kitu wanaeza nifanya ni wanawake washirikina.
Nilimvumilia ila kichwani nilishaweka akilini kwamba ni mwanamke ambaye siwezi, sitoweza kuishi naye nlikuwa namuobserve tu nijue washirikina wanafananaje. Ila kilichonifanya nimtimulie mbali ni uchafu washirikina ni wachafu na ukiwa na mwanamke mshirikina ndani mwako hamna baraka ya Mungu itakosea njia iingie hapo, ni michafu hii mijitu Acha kabisa.
NB. Nilichojifunza katika research yangu
I) hawa wanawake washirikina wana nuksi na mikosi ukiishi naye utapata pesa kwa shida sana na ukiipata anakuwa tayari kakutajia vitu anavyotaka umnunulie hivyo hata hiyo hela umnulie usimnunulie hauta ona ilipoenda utajikuta tu umeishiwa (mahitaji anayokutajia sio mahitaji ni manuizi)
2) wanapenda kukuchokoza, kufanyia maksudi/drama ilimradi akutibue tu anakutingisha kama umejaa (kuna siku nlitaka nimtwange nyundo ya bichwa hapo ndo wazo la Kimungu likanijia nimtimue aende kwao)
3) asilimia kubwa ya wanawake washirikina wanakimoja au vyote kati ya hivi, ujinga yaani shule hamna au failure na umasikini yaani halo ngumu ya familiar wanazotoka, sisemi wakishua hawana hizo mambo ila mpaka mtoto wakishua akufanyie hivyo labda uwe umemzidi kipato au umaarufu unless otherwise atakuwa anataka kukutoa kafara atajirike yeye.
Angalizo: ukigundua mwanamke wako Ana haya mambo timua bila hata kuomba ushauri mahali, la sivyo ipo siku yatatokea majanga mkubwa zaidi either akumalize au ummalize.
Nitaandaa uzi ni namna gani nilimgundua na ni mambo gani huwa wanapenda kufanyia labda itawasaidia wanaume wenzangu kutuepusha na hili janga.
Umegongelea kwenye mfupa kabisa.
Sifa za mwanamke mshirikina lazma awe

I.Mjinga mjinga yani shule less darasa la 7 au failure wa maisha

II.Mchafu wa mazingira, huwa hawanaga tabia ya usafi kabisa. Nyumba ni chafu na usafi wanafagiaga nje tu alfajiri sana ili kuchimbia vidude vyao nje huko.

III.Wanapenda choko choko na kufarakana au kufarakanisha watu. Swala la amani kama ni kwenye familia hawalipendi lazma wagombanishe watu na wazuri sana kwenye umbeya na kutaka kujua ya watu.

Flani kafanyaje, kaingia na nani flani anafanya nini sikuhizi. Zote hizi ni kutafta namna ya kukutia gundu. Haya nimeyashuhudia sababu nimeishi na mtu wa design hii kwa mda mrefu.

Mkuu leta makala yako tujifunze zaidi.
 
Sasa mashangazi zako hauwezi kuwaokoa sini damu ya kaka yako hao!? Mbona kama unajifanya halikuhusu?
Kila mtu anafanya kwa wakati wake...sasa kama mama Yao kashikilia kwenye mpini mm makali Mimi nifanyeje?
Wachawi washenzi sana, Sala za watesi wao ndio zinalemaza watoto...hakuna kitu naeza fanya...amkiri tu Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ..watoto watakuwa sawa.
 
Kila mtu anafanya kwa wakati wake...sasa kama mama Yao kashikilia kwenye mpini mm makali Mimi nifanyeje?
Wachawi washenzi sana, Sala za watesi wao ndio zinalemaza watoto...hakuna kitu naeza fanya...amkiri tu Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ..watoto watakuwa sawa.
Hahaha sema wachawi ukitaka kumkomboa mtu ndo wanakuanzishia kipigo cha nguvu yani daily hawakauki kwako! Utashangaa ni milio ya ajabu tu usiku 😂😂😂 ujue wametimba
 
Hahaha sema wachawi ukitaka kumkomboa mtu ndo wanakuanzishia kipigo cha nguvu yani daily hawakauki kwako! Utashangaa ni milio ya ajabu tu usiku 😂😂😂 ujue wametimba
Kingine ni kwamba? Lazima mtu ujitambue na kutafuta msaada kwa Mungu kwa maombi...I mean mashangazi wenyewe...hii dunia ni ya kujipambania alone
 
Kingine ni kwamba? Lazima mtu ujitambue na kutafuta msaada kwa Mungu kwa maombi...I mean mashangazi wenyewe...hii dunia ni ya kujipambania alone
Mashangazi hawamtafuti mungu au
 
Ulivyoelezea nimetoka machozi yaani mkasa wa bro wako na mimi tofauti ni kabila la mwanamke,mimi mke wangu alikuwa mpare lakini matukio yote yanafanana,nilimpa talaka kwa kuvizia aliaga anaenda kwa dada yake kusalimia nikampiga red card juu kwa juu,pia alijaribu kumrithisha uchawi binti yetu,si hivyo tu watoto wa kwanza walikuwa mapacha walifariki ktk mazingira tatanishi kumbe mwenzangu katoa kafara ili apate cheo kwny chama chao cha uchawi,yaani ukimwona huyo mwanamke jinsi alivyo na matukio anayofanya unaweza sema anasingiziwa.namuonea huruma sana jamaa furani anaekwenda kumuoa hivi punde.
Hee!watu mnapitia mitihani!pole bro..... Kwenye Imani yangu tunaambiwa mwanamke mchawi usimwache aishi
 
Hakuna uchawi Duniani humu!!.... watu waongo!! waongo tu na kutishana km unaogopa uchawi utatishwa sana kwa sbabau km upo kweli mie hapa nimejitoa mara kibao!!! niko tayari kuwa mchawi hata kwa kulipa ada ili mradi tu nifundishwe!! uchawi niujue nina kazi nao!! lkn hola!!

haiwezekani eti wachawi hawaingii humu JF!! ...no.....nili jaribu kwa Nyarusare akasema atanitafuta zaidi kaishia kuomba mambo tu!! sasa najiuliza hawa wachawi wapo kweli ama chama cha kupigana miti tuuuu! wanajidai wachawi??

Yuele mzee mchawi wa miwani muhaya ''Mshana Jr' nae ni maneno meeengi tu, hana lolote! mara ya mwisho nilisikia wachawi wenyewe wanamtafuta!!! kakimbilia Msata kureee kujificha!! zamani ilikokuwa kambi ya wakimbizi siku hizi ni kambi ya jeshi!

Narudia tena km wapo mie hapa waniite tushirikiane nitawalipa fedha....
 
Mlaaniwe popote mlipo enyi wachawi na washirikina nilikohoa siku nzima kisa nimemtishia mwanamke Fulani na msumeno.
 
Mi niliishi nae na nilimgundua wiki ya kwanza tu kuja ghetto, nilikuta kikaratasi ameandika jina langu afu mbele jina lake then jina langu hivyo hivyo karudia kama mistari saba hivi, ila kiukweli kama kuna watu siwaogopi kwa sababu na uhakika hamna kitu wanaeza nifanya ni wanawake washirikina.
Nilimvumilia ila kichwani nilishaweka akilini kwamba ni mwanamke ambaye siwezi, sitoweza kuishi naye nlikuwa namuobserve tu nijue washirikina wanafananaje. Ila kilichonifanya nimtimulie mbali ni uchafu washirikina ni wachafu na ukiwa na mwanamke mshirikina ndani mwako hamna baraka ya Mungu itakosea njia iingie hapo, ni michafu hii mijitu Acha kabisa.
NB. Nilichojifunza katika research yangu
I) hawa wanawake washirikina wana nuksi na mikosi ukiishi naye utapata pesa kwa shida sana na ukiipata anakuwa tayari kakutajia vitu anavyotaka umnunulie hivyo hata hiyo hela umnulie usimnunulie hauta ona ilipoenda utajikuta tu umeishiwa (mahitaji anayokutajia sio mahitaji ni manuizi)
2) wanapenda kukuchokoza, kufanyia maksudi/drama ilimradi akutibue tu anakutingisha kama umejaa (kuna siku nlitaka nimtwange nyundo ya bichwa hapo ndo wazo la Kimungu likanijia nimtimue aende kwao)
3) asilimia kubwa ya wanawake washirikina wanakimoja au vyote kati ya hivi, ujinga yaani shule hamna au failure na umasikini yaani halo ngumu ya familiar wanazotoka, sisemi wakishua hawana hizo mambo ila mpaka mtoto wakishua akufanyie hivyo labda uwe umemzidi kipato au umaarufu unless otherwise atakuwa anataka kukutoa kafara atajirike yeye.
Angalizo: ukigundua mwanamke wako Ana haya mambo timua bila hata kuomba ushauri mahali, la sivyo ipo siku yatatokea majanga mkubwa zaidi either akumalize au ummalize.
Nitaandaa uzi ni namna gani nilimgundua na ni mambo gani huwa wanapenda kufanyia labda itawasaidia wanaume wenzangu kutuepusha na hili janga.
Mkuu uo udhi bado hujaufungua
 
Mimi kuna jamaa yangu huu uhamisho wa kwenda makao makuu ulimkuta na tangu 2020 hajawahi kurudi kwa familia yake yupo hapa Dom anakula maisha na binti mmoja hivi wa kanda maalumu kwa support ya mama mmoja hivi ambaye kiukweli ni mgangamganga hivi
 
Back
Top Bottom